Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Story za wakali wa majuu

Burudani| Video| Tracks na Maisha yao.

Bongo Movie na wasanii wake kwenye maisha yao

News Movie| New Story| New Skendo.

Mafanikio

Story za walio vuka boda na mafanikio yao kama wajasiria-mali.

Elimika na Burudika

Life ya wasio na skendo na wenye skendo| Mafanikio yao na vioo wa jamii.

Friday, December 20, 2013

ANGALIA PICHA JINSI MSANII DIAMOND ALIVYOTEMBELEA KITUO CHA WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU NA KULA NAO CHAKULA CHA PAMOJA


 Maisha yetu wengi ni ya mikiki mikiki ya hapa na pale ya kutafuta..nimekuwa bize mwaka mzima ..lakini siku  yangu ya leo baada ya Swalt Ijumaa niliitumia
 kujumuika na watoto waishio kwenye mazingira magumu kilichopo
 Buguruni ambapo nilipata wasaa wa ..kula nao pamoja ,kucheza..kubadilishana mawazo. lakini pia kutumia nafasi hiyo kuwaonyesha kwamara ya ,kwanza kabisa,video yangu ya number 1 remix
niliyoifanya na Davido .nimefanya hii kwasababu ,hawa ndio mashabiki wetu wakubwa.mara nyingi show zetu tunafanya usiku..mda ambao watoto
 hawaruhusiwi na ukizingatia watotot hawa ,wanaishi katika mazingira ambayo hawawezi  kuhudhuria maonyesho yetu hivyo leo nimeamua kwa mara ya kwanza niwaonyeshe  wao kwanza,kabla sijaisambaza kwa wananchi wote...lingine  la mhimu ni kwamba..mwezi huu tarehe
 25..nimeandaa onyesho maarum pale Readers
 club kwa ajili ya watoto wote ambao 
kawaida hawapati nafasi ya
 kuhudhuria,show zetu za usiku na nimetoa 
complimentary 50 kwa hawa watoto niliokuwa nao leo ...
Cha kukumbushia tu ni kuwa..zoezi hili ni
 endelevu..nitaendelea kutembelea
 maeneo mbali mbali kutoa sadaka kwa
 watoto wenye mazingira magumu
lakini pia nitoe wito..kwa yeyote 
atakaye wiwa kufanya nami zoezi hili..anakalibishwa kuungana nami..
Wasiliana nasi kupitia0715333346. 
 Mama na Anko wakiwa mtaani kununua zawadi



 Baada ya kuwasili tukishusha zawadi mbali mbali tulizoandaa






 Wadogo zangu wakiniskiliza kwa makini wakati nikizungumza nao machache
 Mama mlezi wa kituo
 Babu Tale alikuwepo pia


 Mkubwa fella pia


 Mama yangu pia alipata nafasi ya kuzungumza


















 Tukila pamoja,tukitaniana,kubadilishana mawazo..pia kushauriana











 Nikitoa mausia kwa wadogo zangu jinsi ya
 kupambana katika maisha pasipo kukata tamaa