Saturday, October 6, 2012
KAMA ULIKUA UJAONA PIC ZA RICK ROSS ALIVYOTUA BONGO JANA, ZIANGALIE HAPA.
5:09 AM
No comments
Rozay akiwa na Meneja wa prime Time promotion huyu si mwingine anajulikana kwa jina la Balozi kindamba hapo walikuwa wakielekea katika gari ambalo atapanda mtu mzima Rick ross mpaka katika Hotel ya kilimanjaro kwa ajili ya mapumziko.
Hapo wakazi wa Dar es Salaam wakimuangalia mtu mzima Rick ross baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Airport.
Hapo mtu mzima Rozay akiwa na Dj wake katika gari wakipelekwa katika ya Hotel inayofahamika kwa jina la kilimanjaro kwa ajili ya mapumziko.
Hapo Rick ross akiwa katika msafara wa magari akipelekwa katika Hotel ya kilimanjaro kwa ajili ya mapumziko.
Rozay akiwa amewasili katika hotel ya kilimanjaro kwa ajili ya mapumziko na watu wake aliokuja nao kutoka pande za state wakiwa wanatoa mizigo katika gari.
Muonekano wa The boss baada ya kuwasili katika hotel ya kilimanjaro kwa ajili ya mapumziko
Hapa Rick ross akiwa ndani ya lift akielekea juu kwa ajili ya mapumziko baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam jana usiku huu.
Hii ndiyo hotel ambayo mtu mzima The boss ndiyo dzain amepumzika hapo kwa jili ya show yake ya Serengeti Fiesta ddaaaaaaaaaaaahh!!!!!!! bhhaaaaasss!!!! kwelli muonekano mpya,burudani ile ile
Thursday, October 4, 2012
YANGA NA SIMBA HIKI NDICHO KIASI KILICHOPATIKANA JANA UWANJA WA TAIFA.
9:14 AM
No comments
Release No. 161
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Oktoba 4, 2012
PAMBANO LA YANGA, SIMBA LAINGIZA MIL 390/-
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Oktoba 4, 2012
PAMBANO LA YANGA, SIMBA LAINGIZA MIL 390/-
Pambano
la watani wa jadi Yanga na Simba la Ligi Kuu ya Vodacom lililochezwa
jana (Oktoba 3 mwaka huu) Uwanja wa Taifa,
Wednesday, October 3, 2012
chumba cha habari cha tff kilivyo hoi bin taaban
11:47 PM
No comments
Pichani ni sehemu ya paa la chumba cha habari cha chama cha mpira wa miguu Tanzania (TFF),ambacho
kinatumika kukutana na Wanahabari wa vyombo mbalimbali kuhusiana
tasnia ya michezo kwa madhumuni ya kuihabarisha jamii.Kwa wanahabari za
Michezo naamini kabisa mtakubaliana na mimi kuhusiana na hali iliyopo
ndani ya ofisi hiyo,ambayo kimsingi nayo una umuhimu wake mkubwa,lakini
imetelekezwa kama hivyo.
CHINA YAMSHTAKI OBAMA...
10:19 PM
No comments
Kampuni moja ya Marekani inayomilikiwa na Uchina imemshtaki Rais Barrack Obama kwa kuizuia kununua mashamba manne.
Mashamba hayo yaliyopo karibu na kambi ya Wanamaji katika eneo la Oregon, yalipangiwa kutumika kuzalisha kawi ya upepo .
Kampuni hiyo, Ralls Corporation, inasema ni kinyume cha sheria na maonevu kwa Obama kutoa uamuzi wa kuizuia kununua mashamba hayo wiki iliyopita kwa sababu za kiusalama. Kambi hiyo ya Wanamaji inatumika kufanyia majaribio ndege zisizo na marubani.
Shirika la habari la Uchina limesema uamuzi huo wa Obama unahusiana zaidi na Uchaguzi wa Marekani kuliko masuala ya kiusalama. Hii ni mara ya kwanza kwa Mwekezaji wa kigeni kuekewa kikwazo nchini Marekani katika muda wa miaka 20.
Chanzo: http://www.bbc.co.uk/swahili/habari
MTOTO ANAYEKADIRIWA KUWA NA MWEZI MMOJA AKUTWA AMETUPWA
12:23 AM
No comments
Msamaria
mwema aliyrfahamika kwa jina moja Lina akiwa amembeba mtoto ambaye
alikutwa ametupwa katika bomba la Nyumba moja wilayani Sengerema.
Mtoto ambaye alitupwa akionekana katika picha..
Umati
wa watu waliofika kwenye tukio la utupwaji wa mtoto mchanga wakishangaa
sana kutokana unyama huo ambao haukubaliki kwa jamii ya Kitanzania.
Sura ya Mtoto aliyetupwa kama inavyoonekana pichani.
MTOTO
mchanga anayekadiliwa kuwa na umri wa mwezi mmoja amekutwa ametupwa
kwenye boma la nyumba moja iliyopo katika kata ya Ibisabageni wilayani
sengerema mkoani mwanza.
Tukio
hilo limetokea jumatatu majira ya asubuhi katika kata hiyo ambapo mtoto
huyo amekutwa ametupwa na msamalia mwema ambaye ni mtoto aliyefahamika
kwa jina la KUBUNGA na kuamua kutoa taarifa kwa ndugu jamaa na ndipo
walipofika eneo la tukio.
Akielezea
kuhusu tukio hilo amesema kuwa wakati anapita eneo hilo alisikia sauti
ya mtoto ikilia na ndipo aliposogea karibu na kukuta mtoto huyo mchanga
akiwa amelazwa chini.
Naye
Afisa Mtendaji wa kata hiyo Bw. JAPHET MASHALA ambaye alikuwepo eneo
la tukio amelaani kitendo hicho na kusema ni cha kinyama na kuwaomba
wananchi kuwa na moyo wa ubinadamu wa kuthamini maisha ya wengine kwani
mtoto huyo hana hatia yoyote.
Hata
hivyo mpaka mwandishi wetu anaondoka eneo la tukio juhudi za kumtafuta
aliyetenda unyama huo zilikuwa zinaendelea ili kumfikisha katika vyombo
vya dola. Chanzo: B Plus Blog
Tuesday, October 2, 2012
YUNG OMEGA YUKO MBIO KUKAMILISHA VIDEO YA NGOMA YAKE YA "parry people"
11:24 PM
No comments
Yung Omega ambaye anafanya vizuri kwa style ya miondoko ya ragge ilivyo tofauti na wasanii wenzake wa wanaotokea A.Town, Omega amefunguka na the HOOD infotainment na kusema kuwa, ngoma yake iko mbioni ya parii people, yuko mbioni kuanza kushot nchini ya Producer Isaack Chiwanga katika Studio ya Multmedia Production na kuwaambia mashabiki wake wakae tayari kupokeo video yake hiyo mpya,
kwa mara ya kwanza ngoma hiyo utaiona hapahapa kupitia blog hii.
kwa mara ya kwanza ngoma hiyo utaiona hapahapa kupitia blog hii.
![]() |
| huyu ndie producer atakae simamia mchakato mzima kuanzia location, shooting, editing mpaka ngoma hiyo ikamilike chini ya multmedia production. Mr Isack Chiwanga |
AJALI MBAYA IMETOKEA MUDA SI MREFU ENEO LA MBALIZI MBEYA, MAGARI MAWILI YAGONGANA NA KUWAKA MOTO . WATU KUMI WARIPOTIWA KUFARIKI DUNIA, MBUNGE WA VITI MAALUM MH.MARY MWANJELWA ALIKUWEMO KATIKA AJALI HIYO, KATIBU WAKE ATEKETEA KWA MOTO.
12:26 PM
No comments
HIVI NDIVYO MAAFA YALIVYO
MKUU WA MKOA WA MBEYA ALIYE VAA SUTI YA BLUE MH. ABASS KANDORO AKIWA ENEO LA AJALI
HIVI NDIVYO HILI GARI LILIVYO UNGUA MOTO BAADA YA AJALI
MAMIA YA WATU WALIOFIKA KUSHUHUDIA AJALI HIYO MBALIZI
HIVI NDIVYO GARI HILI LILIVYO PINDUKA NA KUWAKA MOTO BAADA YA AJALI
HII NI GARI NYENGINE AMBAYO PIA ILIWAKA MOTO BAADA YA KUGONGANA
FIRE WAKIWA WAMEWAHI ENEO LA TUKIO KWA AJILI YA KUZIMA MOTO HUO
ASKARI WA USALAMA WA BARABARANI WAKIWA WAMEFIKA ENEO LA TUKIO AMBAPO MAGARI HAYO YAMESABABISHA VIFO VYA WATU KUMI.
WATU WAKIWA WAMEONGEZEKA KUSHUHUDIA TUKIO HILI LA AJALI
HUU NDIO MUONEKANO WA GARI HILI LIKIWA LIMEUNGUA LOTE
HAYA NI MABAKI YA GARI HILI AMBALO NALO LILIUNGUA LOTE
WANANCHI MBALI MBALI WAKIWA WANASHUHUDIA AJALI HUKU WENGINE WAKIWA WANAENDELEA KUOKOA WALIO PATA AJALI
Saturday, September 29, 2012
ALICHO KIANDIKA DIAMOND KATIKA WEBSITE YAKE KUHUSIANA NA BRITHDAY YA WEMA SEPETU
9:23 AM
No comments
Mwaka 1990, mwezi na siku kama ya leo Mrs. Abraham Sepetu ama (Mama
Sepetu) alipata bahati ya kujifungua mtoto wa kike ambae alimtunuku jina
la Wema Abraham Sepetu, Mtoto ambae Nyota yake ilianza kama masihara tu
pale aliposhinda taji la Miss Tanzania 2006, kisha baadae kuingia
katika Muvie Industry kama utaniutani vile na ghafla kuwa DIVA wa Tasnia
hiyo, na licha tu ya udiva pia kuwa ICON wa Tanzania.Siku hii ya leo ya
tarehe 28/09/ anazaliwa upya na kutimiza miaka 22.
the HOOD infotainment inakutakia maisha marefu na yenye baraka
Friday, September 28, 2012
STR8MUZIK Free Style 2012 zang’ara Mwanza
12:51 AM
No comments
RICK ROSS KUPANDA JUKWAA LA SERENGETI FIESTA, OKT 6
12:46 AM
No comments


Msanii
nyota kutoka nchini Marekani, mzaliwa wa nchini Marekani,
anayetambulika kwa jina la kisanii kama Rick Ross, ambaye kwa jina
halisi anajulikana kama William Leonard Roberts II, anatarajia kutua
nchini Tanzania hivi karibuni kwa ajili ya kushiriki kikamilifu
kushambulia jukwaa la Serengeti Fiesta 2012, litakalofanyika Oktoba 6
ndani ya viwanja vya Lidaz Club,Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Katika
kuhakikisha mambo yanakwenda sawa bin sawia kwa kila idara kuhusiana na
tamasha hilo, waandaaji ambao ni Prime Time Promotions Ltd
wakishirikiana na Clouds Media Group huku mdhamini wao mkubwa ikiwa ni
kampuni ya bia ya Serengeti,wameandaa shamara shamra mbalimbali za
kuhakikisha tamasha hilo mpaka linafika kileleni,linaamsha na kuacha
gumzo la kipekee kabisa miongoni mwa wakazi wa jiji la Dar na vitongoji
vyake, ikibidi mpaka Kigoma mwisho wa reli kwa namna moja ama nyingine.
Msanii huyo mwenye umahiri mkubwa wa kufloo awapo jukwaani mpaka sasa anatamba na nyimbo/albamu kadhaa kama vile Hold Me Back 2012 God Forgives, I Don't, Hustlin' 2006 Port of Miami Diced Pineapples 2012 God Forgives, I Don't So Sophisticated 2012 God Forgives, I Don't 911 2012 God Forgives, I Don't Stay Schemin 2012 Rich Forever Aston Martin Music.
Nyinginezo ni 2010 Teflon Don DJ Khaled 2008 Trilla Lemme See 2012 So Sophisticated Amsterdam 2012 God Forgives, I Don't Black Magic 2012 Maybach Music Group Presents Self Made, Vol. 2: The Untouchable Empire The Boss 2008 Trilla You the Boss 2011 You the Boss Touch'n You 2012 Touch'N You Bag of Money 2012 Maybach Music Group Presents Self Made, Vol. 2: The Untouchable Empire.
Wednesday, September 26, 2012
VITUKO VYA BEYONCE WA TANZANIA......
1:08 AM
No comments

Huyu ndio beyonce wa tanzania kwajina halisi anajulikana kama mwanaisha idd,ana watoto wawili mapacha wa kizungu .
Anaishi msasani,hana simu na wala hajawahi kumiliki simu hapendi kwasababu kila mara anajikuta akipoteza akiwa na simu, pia hajawahi kwenda club yoyote zaidi ya NEW MAISHA CLUB,
"Maisha ndio home hata nikiumwa nakuja kulala hapahapa au kunywa dawa hapahapa sijawahi kukosa new maisha club napaona kama nyumbani,hata baba watoto wangu nilikutana nae new maisha club."
Miss triity live na beyonce wa tanzania kwenye stage
Mashabiki wakicheza na miss trinity na beyonce kwenye stage
Miss trinity akimshangaa beyonce wa tanzania
Hapa akitoa style zake zakujikunja kama kinyonga
Subscribe to:
Posts (Atom)







































