Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Story za wakali wa majuu

Burudani| Video| Tracks na Maisha yao.

Bongo Movie na wasanii wake kwenye maisha yao

News Movie| New Story| New Skendo.

Mafanikio

Story za walio vuka boda na mafanikio yao kama wajasiria-mali.

Elimika na Burudika

Life ya wasio na skendo na wenye skendo| Mafanikio yao na vioo wa jamii.

Sunday, March 31, 2013

MUONEKANO MPYA WA SUPER STAR WOLPER KAMA VIPI MKAREEEZZZZ!

Hii ilikuwa jana 30 March 203, kwenye harusi ya mstar wenzao wa bongo movies Kupa na Jimmy.

MTUHUMIWA WA MAUAJI YA PADRI MUSHI WAZANZIBAR HUYU HAPA


 Hapo ndio tujue kuwa wenzetu hawabahatishi na hawana siasa kwenye kazi zao proffessional....kazi kweli kweli!!wamehadithiwa tu wamemchora mtu yule yule!!Angalia Mchoro wa Polisi Hapo chini na Ufananishe na mtu Huyu..




Mchoro Uliyotumika Kumpata Muuaji



NA MPEKUZI BLOGSPOT

Saturday, March 30, 2013

DIAMOND ADHIHIRISHA UBABE WAKE MBELE YA MAELFU YA MASHABIKI MKOANI GEITA

Napenda kumshukuru Mungu kwa Siku ya Jana tarehe 29 mwez wa 3..........
 kuanzia nilipowasili
Mkoani Geita,kwa mapokezi mpaka Usiku nilipoenda kuwajibika
na kukonga nyoyo za mashabiki zangu Mkoani Geita.....
Nashukuru Uongozi Mzima waliosimamia Ulinzi Kuimarika
na kuimarisha  Ulinzi kwa maelfu ya mashabiki waliofurika
ukumbuni Humo....!!
Nawashukuru Mashabiki zangu wote waliojitokeza jana kwenye
show na hata wale ambao walitamani kuwepo lakini kwa sababu
zilizo nje ya uwezo wao awakuweza kufika....!!
Nikiwa na Crew yangu Nzima niliweza kutimiza yale waliyotegemea
wanachi wa Geita...ule udambudambu wa kimanyema wote
niliudondosha Hapa kati....

Hizi hapa chini ni Picha Matukio yote yaliyojiri kwenye Easter Friday
ndani ya Geita.....!!


WASAFIIIIII....
Safari ilianzia hotelini kuelekea Ukumbini.....

Hali ilikuwa hivi kabla ya kupanda Jukwani.....!!

Pole Pole...Alianza kukinukisha na Askari wangu wa Ukweli....
kwenye Stage....!!





Mafia Mnyama...On the one N two...!!






















Eti Nani Amenuna.....? Nani Amenuna??


Wotee....woteee..... Nimpende Nani...? Nimpemndee?
Geita...Nauliza....??

Aaaah kulewa...Kulewa....!!





Geita Hands In the AIR......!!




Kwa Mchezo wa Kuringa Ringa ndio wanadata.....Badilika usiwe...??
Geita Malizia.....!!
Aghaaaa Kidogo.......!!
Dumy & Emma....!!
Baada ya Show Vijana walidondoka Club pembeni ya hotel
na kujirusha kiaina...!

Dumy Utamu & Mafia Mnyama....!!
SOURCE:::http://www.thisisdiamond.com/