Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Story za wakali wa majuu

Burudani| Video| Tracks na Maisha yao.

Bongo Movie na wasanii wake kwenye maisha yao

News Movie| New Story| New Skendo.

Mafanikio

Story za walio vuka boda na mafanikio yao kama wajasiria-mali.

Elimika na Burudika

Life ya wasio na skendo na wenye skendo| Mafanikio yao na vioo wa jamii.

Thursday, June 20, 2013

HUJACHELEWA...!!! KUWA WA KWANZA KUITAZAMA VIDEO MPYA YA SNURA MAJANGA .... HII HAPA

Snura katika pozi. bofya HAPA kuitazama video hiyo



HATARIIII.....ANGALIA PICHA ZA MAJERUHI MAPOKEZI YA BECKHAM CHINA

Beckham stampedeVurugu tupu: Ofisa wa usalama na watu wengine wakijaribu kumbeba askari wa kike aliyepata majeruhi katika mapokezi hayo yaliyojaza nyomi kubwa sana
David BeckhamKabla ya fujo: Maelfu ya watu wamejitokeza kumpokea nyoa Beckham katika chuo kikuu cha Shanghai
PolicewomanMaskini askari: Askari wa kiume akiwa amelala chini ya sakafu baada ya kujeruhiwa katika mapokezi hayo
Beckham crushFujo zaanza:  Maofisa wa polisi wameshindwa kuwazuia maelfu ya watu katika mapokezi hayoNa Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Nyota wa zamani wa Manchester United,  Los Angel Galaxy, Real Madrid, PSG na timu ya taifa ya England, David Beckham amewasili leo nchini China na kusababisha wanafunzi watano kujeruhiwa vibaya katika harakati za kumpokea  katika chuo cha Tongji University ambapo umati mkubwa ulifurika kupita kawaida.
Beckham ameenda kuwatembelea wanachama wa klabu ya mpira wa miguu ya chuo hicho kama sehemu ya ziara yake ya siku saba nchini humo yenye lengo la kuiamusha ligi kuu ya China.
Licha ya watu wengi waliofurika kuhitaji kushikana mikono na nyota huyo, imekuwa ngumu sana kulingana na watu kusukumana na kusababisha watu kujeruhiwa wakiwemo maaskari polisi.
Lengo la Beckham kuzungumza na wanachama hao limeshindwa kutimia kufuaia fujo hizo za watu wengi waliofurika, lakini ameandika katika mtandao wake wa kijamii wa Facebook akiwaomba radhi mashabiki wake kwa kile kilichotokea.
Samahani sana jamani, nimeshindwa kuiona timu ya chuo kikuu pale uwanjani, kiukweli ilikuwa ngumu sana kupenya umati ule. Nimesikia watu wachache wamejeruhiwa, natumaini wanaendelea vizuri na nawatakiwa kheri wapone salama”. Alisema Beckham baada ya kuondoka uwanjani hapo.
Takribani watu elfu moja walikuwepo katika mapokezi hayo na kuhitaji kumshika nyota huyo,na tayari jeshi la polisi limethibitisha kuwa maofisa wake watu wamejeruhiwa katika fujo zoezi hilo.
Beckham mwenye umri wa miaka 38 amestaafu kucheza soka msimu uliopita ambapo aliwasaidia PSG kutwaa ubingwa wa ligi kuu nchini Ufaransa, Ligue 1.

NU-Joint: Umbwa aka Chindo Man from Watengwa

Ni mkono wa Umbwa aka Chindo Man from Watengwa Family na Vocals zikiwa chini ya Defxtro wa Noizmekah Productions na Humu wanapita Sister P-Culture na JCB. Ngoma inakwenda kwa Jina Life Can Be,ni inspirational hiphop joint yenye mistari ya kuelimisha jamii, Pata kuusikiliza HAPA na endelea kusupport muziki wa Tanzania, kwa mawasiliano zaidi na Mwanadada P-Culture chek naye kupitia nambari +255 782 123 700 powered by www.vmgafrica.com

WOLPER NA HALIMA MDEE WANATARAJIWA KUTOANA MANUNDU USIKU WA MATUMAINI

MSANII wa filamu nchini Jacqueline Wolper ameenda kujichimbia Afrika Kusini akifanya mazoezi ili ajiweke katika nafasi ya kuzichapa na mbunge wa CHADEMA Halima Mdee, katika tamasha la Matumaini litakalofanyika Julai 7 mwaka huu.
Wolper ambaye atapigana na Halima Mdee, alisema kuwa amejikita nchini humo kwa ajili ya kujiweka sawa ili aweze kumkabiri mbunge huyo.
Alisema mbali ya kujiweka fiti kwa ajili ya kumkabili mbunge huyo pia anajiweka fiti kwa ajili ya kujenga mwili wake ili kupunguza magonjwa pamoja na kujinginga na magonjwa ya kisukali yanayotokana na mafuta.

"Naamini nitamgaragaza mbunge huyo na sitochukua hata dakika tano kwenye mchezo huo kwani naamini mazoezi yangu ninayoyafanya ni njia moja wapo ya kujiweka vizuri kimwili" alisema Wolper.

Siku ya Usiku wa Matumaini utapambwa na mashindano kibao yakiwemo mbunge wa viti maalumu Ester Bulaya ambaye naye anatarajia kuzichapa na Aunt Ezekiel, huku Zitto Kabwe atazichapa na Vincent Kigosi

pro 24

Chief Mufasa, msanii anetisha na stlye yake ya Afropop, cheki ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la JaiveJaive


Pata kumsikiliza ChiefMufasa msanii anayewakilisha vema Tanzania kule nchini Kenya,na hapa ni katika kipande kidogo cha Bonus track yake aloipa jina "JaiyeJaiye" ambayo ni Afropop itakayokuwa katika mixtape ya Fresh 2 Twenty,itakayodrop mtaani mwezi huu mwishoni,Mixtape itakuwa na ngoma 12 za muundo wa HipHop, Crunk, Afropop na fusion zingine nyingi tofauti zikiwa zimerekodiwa Noizmekah Production Stiudios kwa Defxtro, sikiliza Jaiye Jaiye Snippet HAPA na endelea kussuport muziki wa Tanzania,Kwa mawasiliano zaidi check na ChiefMufasa kupitia +
255 757 564 839 au +254 714 564 839

Furaha ya burudani ya miaka ilee sasa imerejea: Isumba lounge ndio jibu lako.


Furaha ya burudani ya miaka ilee sasa imerejea. Melegendari sasa wamekiri kuwa walichokikosa kwa muda mrefu, sasa kinapatikana isumba lounge -jollies club kila ijumaa na j'mosi. Ni katika night of the legends na DJ John Dillinga aka The Legend is Back, DJ Fast Eddy na DJ Young Kelvin. Njoo ujumuike na malegendari wenzako ukumbukie wakati muziki ukiitwa muziki. Milango iko wazi saa 3 usiku, kiingilio 10,000/-. Karibu sana. 4 more info or comments like facebook page @www.facebook.com/pages/DJ-JD or follow instagram @DJJDTHELEGEND



Tuesday, June 18, 2013

Picha: Nyuma ya pazia 'Diamond Platnumz' akiandaa picha kwaajili ya mashabiki wake

Leo katika website ya This is Diamond, mwimbaji wa Bomgo Fleva 'Diamond Platnumz' ameachilia picha ambazo zinaonyesha nyuma ya pazia juu ya picha zitakazo toka kwaajili ya mashabiki wake ku share na kuzitumia kwenye mitandao ya kijamii.

Hiki ndicho alicho kiandika.
"Siku ya jana nilikuwa na ratiba nyingi lakini hii ilikuwa moja ya  ratiba muhimu sana kwa siku ya jana.....
Ratiba hii ilikuwa kwaajili ya kupiga picha zangu binafsi kwa matumizi yangu kwenye Social Networks zangu na Website kwa ujumla na pia bila kusahau baadhi ya picha ni zawadi kabisa kwenu mashabiki zangu wa nguvu kwa matumizi yenu kwenye social networks zenu binafsi...... 
Zifuatazo ni picha kadhaa nikijianda na Photoshoot hiyo kutoka home hadi studio.....nimeamua kushare na nyinyi muweze kujua kinachojiri ndani ya ulimwengu wangu."

Zitazame hapa picha zaidi juu ya tukio hilo.












SOURCE: 24Hours Mix | Infotainment site

Update: Habari za kufariki Saida Karoli zakanushwa


saida-karoli

UPDATE: Taarifa mpya zinasema ajali ya boti imetokea lakini Saida Karoli hakuwemo kwenye boti hiyo na yuko hai. Kwa taarifa hizo za kukanusha kufariki msanii huyo, nenda kwenye link ifuatayo: Taarifa: Saida Karoli yuko hai. Kweli ajali ya boti imetokea lakini Saida hakuwemo
Kwa mujibu wa Mjengwa blog mwanamuziki mashuhuri Afrika Mashariki, Saida Karoli amefariki dunia baada ya kuzama maji kufuatia ajali ya boti iliyotokea kwenye ziwa Victoria. Ajali hiyo ilitokea baada ya boti aliyokuwa akisafiria kutoka Kisiwa cha Goziba kukumbwa na dhoruba na kuzama katika Ziwa Victoria.
Taarifa hizo zinasema pamoja na Saida Karoli, kuna watu wengine pia wamefariki dunia katika ajali hiyo. Idadi ya waliofariki kwenye ajali hiyo bado haijapatikana

ANGALIA PICHA ZA VURUGU ZILIZOTOKEA ARUSHA SAA CHACHE ZILIZOPITA






 








Picha: Jinsi marehemu Langa Kileo alivyozikwa jana (June 17)

Ndugu, marafiki, wasanii, watu mashuhuri na watu wa aina mbalimbali jana wamejumuika kwenye mazishi ya rapper Langa Kileo aliyefariki wiki iliyopita kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam. Langa amezikwa kwenye makaburi ya Kinondoni ambapo mazishi yake yameongozwa na wazazi wake wote wawili. Hizi ni baadhi ya picha za mazishi hayo.
Kaka yake Langa na Baba yake Mzee Kileo (800x533) Kaka yake Langa na Baba yake Mzee Kileo
Lady Jaydee akitoa heshima zake za mwisho (800x533) Lady Jaydee akitoa heshima zake za mwisho
M 2 THE P (800x533) M 2 THE P
Mama mzazi wa Langa (800x533) Mama mzazi wa Langa
Aliyekuwa meneja wa Langa (800x533) Aliyekuwa meneja wa Langa
B12 na Petit (800x533) B12 na Petit
Dada yake (800x533) Dada yake Langa
Dr Cheni (800x533) Dr Cheni

Mdogo wake Langa (800x533) Mdogo wake Langa
Mwili wa Langa ukiombewa (800x533) Mwili wa Langa ukiombewa
Mwli wa Langa kwenye jeneza wakati ukiagwa (800x533) Mwili wa Langa kwenye jeneza wakati ukiagwa
Ndugu wa marehemu wakilia kwa uchungu (800x533) Ndugu wa marehemu wakilia kwa uchungu
Nikki Mbishi (800x533) Nikki Mbishi akitoa heshima zake za mwisho
Rafiki wa Langa akilia kwa uchungu (800x533) Rafiki wa Langa akilia kwa uchungu
Rafiki wa Langa akilia kwa uchungu Rafiki wa Langa akilia kwa uchungu
Sauda Mwilima na Keisha (800x533)
Sauda Mwilima na Keisha

Wakazi (800x533)
Wazazi wa Langa (800x533) Wazazi wa Langa
Wazazi wa Langa
IMG_5635 (800x533)
IMG_5647 (533x800)
IMG_5655 (800x533)
IMG_5663 (800x533)
IMG_5671 (800x533)
IMG_5675 (800x533)
IMG_5680 (800x533)
IMG_5683 (800x533)
IMG_5706 (800x533)
IMG_5708 (800x533)
IMG_5713 (800x533)
IMG_5725 (800x533)
IMG_5733 (533x800)
IMG_5745 (800x533)
IMG_5747 (800x533)
IMG_5748 (800x533)
IMG_5749 (800x533)
IMG_5755 (800x533)
IMG_5757 (800x533)
IMG_5761 (800x533)
IMG_5762 (800x533)
IMG_5763 (800x533)
IMG_5764 (800x533)
IMG_5766 (800x533)
IMG_5778 (800x533)
IMG_5780 (800x533)
IMG_5786 (800x533)
IMG_5809 (533x800)
IMG_5834 (800x533)
IMG_5835 (800x533)
IMG_5836 (800x533)
IMG_5840 (800x533)
IMG_5841 (800x533)
IMG_5843 (800x533)
IMG_5849 (533x800)
IMG_5854 (800x533)
IMG_5857 (533x800)
IMG_5867 (800x533)
IMG_5868 (800x533)
IMG_5871 (800x533)
IMG_5879 (800x533)
IMG_5881 (533x800)
IMG_5882 (533x800)
IMG_5886 (800x533)
IMG_5889 (800x533)
IMG_5890 (800x533)
IMG_5891 (800x533)
IMG_5892 (800x533)
IMG_5893 (800x533)
IMG_5896 (800x533)
IMG_5899 (800x533)
IMG_5901 (533x800)
IMG_5903 (800x533)
IMG_5906 (800x533)
Mungu ailaze roho ya marehemu Langa pepeni, Amen.