Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Story za wakali wa majuu

Burudani| Video| Tracks na Maisha yao.

Bongo Movie na wasanii wake kwenye maisha yao

News Movie| New Story| New Skendo.

Mafanikio

Story za walio vuka boda na mafanikio yao kama wajasiria-mali.

Elimika na Burudika

Life ya wasio na skendo na wenye skendo| Mafanikio yao na vioo wa jamii.

Monday, April 15, 2013

WABUNGE WATOANA MAPOVU BUNGENI.....NENO "IMPOTENCY" LAWAFANYA WALUMBANE

Ilikuwa  ni wakati wa kuchagia hotuba ya Waziri mkuu ambapo Mheshimiwa Wenje (CHADEMA) aliichamba  serikali na kuonyesha kwamba haina uwezo wa kutatua matatizo.

Ikafika mahala mheshimiwa Wenje akatumia sentensi mbili za kiingereza na akatamka kwamba it shows that the gorvement is IMPOTENT.

Binafsi sina matatizo na English, neno IMPOTENT na deritaives zake nalifahamu maana zake nyingi, na katika public maana yake kubwa ni hiyo aliyotumia Mh. Wenje.

Niliendelea kusikiliza bunge nikijua kwamba wabunge wetu nao hawana tatizo na kiingereza na sikutarajia lolote na matumizi ya neno hili kama ambavyo siwezi kutegemea matatizo Julius Nyerere alipomwambia Augustine Mrema kwamba { I cant go to sleep in Butiama and let my country go to dogs}

Wakati ule Nyerere alimjibu Mrema kuwa aache kampeni zake za urais kwani yeye kama Nyerere atampigia kampeni Benjamin Mkapa.

Mrema aliibuka na kutangaza kwamba Nyerere kawatukana wapinzani kuwa ni mbwa.

Leo, wabunge wa CCM wakanikumbusha kituko hiki cha Mrema kwa wao kusema kwamba Mh. Wenje afute kauli yake kwani IMPOTENT maana yake ni kuwa Hanisi yaani kutokuwa na uwezo wa kutozaa.

Mwanzoni nilidhani ni mmoja tu, bwana, wameibuka wawili wakidai afute kwa maana hiyohiyo na wengine wana CCM wakishangilia hata waliokuwa mawaziri ambao wanasafiri kila siku kwenda Uingereza na Marekani kunakozungumzwa kiingereza.

Je, neno IMPOTENT lina maana hiyo kweli? Nimefungua dictionary yangu, {Oxford Advanced Learner's Dictionary, Seventh Edition, ISBN: 9780194316613, pg.749}inasema hivi: 1: Having no power to change things or to influence a situation. E.g. POWERLESS {Without the chairmans support the commitee is impotent}, {She blazed with impotent rage}.
2:
(of a man): unable to achieve an erection and therefore unable to have full sex


Na hata online dictionary mnaweza kusoma wenyewe kwenye link hii (Click Here)
Neno IMPOTENT linatokana na neno la kitalini yaani POTENT literacy meaning "being powerful". Ndiyo maana unaposema Afrika ina mali POTENTIAL maana yake nguvu ya mali iliyojificha.

TUnaposema mlima una potential volcano maana yake ni volcano yenge nguvu iliyofichika. Wakatoliki husema kanuni yaani Imani kwa kilatini wakisema {Credo in unum Deum, Patri OMNIPOTENTE}. Maana yake Nasadiki kwa Mungu mmoja, baba mwenye nguvu zilizoenea pote. Hapa neno OMNIPOTENTE maana yake ni Mungu aliyeenea kote.

Kama wabunge  hawajui asili na maana ya neno POTENT na kama nao walipita shule za kata hawajui POTENTIAL VOLCANO wakadhani ni volkano yenye matusi, basi ile tume ya kuchunguza kufeli kwa form four ipite na kwao pia.

JB AJITOSA KUGOMBEA UBUNGE MWAKA 2015


Na Mwandishi Wetu
MWIGIZAJI ‘namba wani’ Bongo mwenye heshima kubwa, Jacob Stephen Mbura ‘JB’ yupo mguu sawa kuingia kwenye ulingo wa siasa kwa kugombea ubunge mwaka 2015.
Jacob Stephen Mbura ‘JB’.
Akizungumza na paparazi wetu jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, JB alisema ameamua kuweka wazi ndoto yake hiyo ya miaka mingi ambapo ilikuwa kuitumikia jamii ya Kitanzania.
“Nimeamua kuweka wazi kwamba mwaka 2015 nitajitosa rasmi kwenye kinyang’anyiro cha ubunge. Nia ninayo, uwezo ninao na sababu pia ninayo, ni muda muafaka sasa wa kutimiza ndoto yangu ya kuitumikia jamii,” alisema JB.
Hata hivyo, ‘mheshimiwa’ huyo hakuwa tayari kuanika ni jimbo gani atagombea akisema atatangaza baadaye licha ya kudai kwamba ni jimbo moja kubwa lenye upinzani mzito kila ukifika wakati wa uchaguzi.
“Nasisitiza nitagombea, lakini siwezi kuweka wazi ni jimbo gani, hilo nitaliongelea baadaye, ila ni kubwa lenye upinzani mkubwa kila wakati wa uchaguzi,” alisema JB.
Source : Global Publisher

BAADA YA UWOYA NA DIAMOND KUNASWA WAKILA BATA HOTELINI, JOKATE AMCHEKA UWOYA. HIKI NDO ALICHOKISEMA



Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.
MWANAMITINDO Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, ameangua kicheko baada ya kusikia mwigizaji Irene Uwoya kunaswa hotelini na Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Jokate aliangua kicheko hicho juzikati jijini, Dar wakati alipozungumza na paparazi wetu na alipogusiwa kuhusu suala la Uwoya kunaswa na Diamond, alicheka sana huku akimshangaa.
“Hahaha sasa ndiyo nini tena, yeye si aliwahi kunisema mimi nakwapua mabwana? Sasa leo imetokea kwake tena!” alisema Jokate.

 
Irene Uwoya.


 

Saturday, April 13, 2013

HII NDIYO NDEGE ILIYOONDOA UHAI WA BILLIONEA BABU SAMBEKE!!!

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwDVmNLH5jSpHD_gfTs-owBQ-APTwrlyzziZpryIWKICDiswoOusdqp7emzSG8sCBECS-zSt8upGP_-Sl-NhIzQr5gGaAYXtMs8O99LLT97dorsRRFDN53NjzwewkZx-Xca0xm06girWk/s1600/ndege.jpg
  HABARI za kusikitisha tulizozipokea muda mfupi uliopita ni kwamba mfanya biashara maarufu mkoani Kilimanjaro  anayefaamika kwa jina la Babu Sambeke amefariki dunia kwa ajali ya ndege huko mkoani Arusha, ndege hiyo ambayo mmiliki alikuwa ni marehemu NYAGA MAWALLA,aliyefariki dunia siku chache zilizopita, inasemekana imepata ajali jana jioni na kupelekea vifo vya watu wawili ambao ni Babu Sambeke na mtu mwingine ambaye mpaka sasa jina lake kalijatambulika. Inasemekana ajali hiyo imetokea jijini arusha ambapo babu alikwenda kwa shughuli zake za Kibiashara.

HII NDO LAANA INAYOTENDEKA SASA MOMBASA


The 21st century generation seems to have thrown all caution and the respectable ways that the forefathers fought so hard to see their children grow up with are no longer there.

In Mombasa at some night clubs this is what goes down.
 

HUYU NDO MBUNGE ALIYELIOMBA BUNGE KURUHUSU KILIMO CHA BANGI, KWANI HAINA MADHARA KAMA SIGARA.



MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Ali Kessy Mohammed (CCM) ameishauri Serikali kuachana na kuhamasisha kilimo cha tumbaku kwa vile kinasababisha magonjwa ya kansa; badala yake iruhusu kilimo cha bangi.
Akiuliza swali la nyongeza jana bungeni, Kessy alisema zao la tumbaku linapingwa kote duniani; hivyo sio vyema kwa Serikali kuendelea kuhamasisha kilimo chake na ni vyema ikaruhusu bangi kwa vile ina uwezo wa kuliletea taifa fedha za kigeni.
“Kwa nini tusiruhusu kilimo cha bangi kuliletea taifa fedha za kigeni badala ya kuhamasisha kilimo cha tumbaku?” Alihoji mbunge huyo na kusababisha wabunge kulipuka kwa kicheko.
Katika majibu ya Serikali, Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Malima alisema ni kweli kwamba zao la bangi limesharuhusiwa katika baadhi ya nchi hapa duniani.
Lakini alisema kwa hapa nchini hawawezi kuruhusu kilimo cha zao hilo kwa sababu bangi bado inachukuliwa kama ni zao la dawa za kulevya na linapingwa katika baadhi ya nchi.
“Siku tukijiridhisha kuwa bangi imepata uhalali duniani kote na imekubaliwa kulimwa na sisi tutaelekea kwenye kilimo cha zao hilo lakini kwa sasa hatukiruhusu,” alisema Malima.
Alisema katika kipindi hiki sio wakati wa kupuuza kilimo cha tumbaku kwa vile ndilo zao pekee ambalo kwa sasa linalipatia taifa fedha nyingi za kigeni.

Read more: http://audifacejackson.blogspot.com/2013/04/huyu-ndo-mbunge-aliyeliomba-bunge_14.html#ixzz2HjCHFJTV

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HII:JAMAA AKATATWA UME BAADA YAKUFUMANIWA AKIMBAKA MTOTO WA MIAKA 15.


Jamaa mmoja kutoka Kenya ambaye jina lake bado alijajulika amepata ya kupata baada ya kujaribu kumbaka mtoto chini ya
miaka kumi na nane na kushindwa adhabu yake ikawa kukatwa UME wake tunaomba radhi kwa picha hii
  source by Masai Nyotambofu: Chanzo- BongoClan

hii hapa ndio TOP 10 ya Rappers/waimbaji wa Bongo wenye mbwembe (swag) waongeapo kwenye redioni/TV

Uongeaji ni sanaa pia ambapo kuna wale waliojaaliwa uwezo wa kuongea kwa mbwembwe zaidi na kuwa kivutio kwa wanaosikiliza. Hawa ni wasanii 10 tunaoamini kuwa huongea kwa mbwembwe zaidi wahojiwapo redioni ama kwenye TV.

1. Godzilla
537094_510036565715287_1984810408_n
Kama haumfahamu Godzilla a.k.a Zizi na hujawahi kumsikia popote, ukifungulia redio na ukakuta anahojiwa unaweza kuhisi ni mnyamwezi fulani aliyekaa Marekani kwa muda mrefu sana na Kiswahili kimeanza kumtoka kichwani. Tangu aanze muziki, Zilla amekuwa akifuata nyendo nyingi za 50 Cent hasa katika kurap na kuongea. Mara nyingi kwenye interview hutupia swag kama za 50 na kwa hakika hakuna anayemfikia.

2. TID
16164_10151298061133749_1713734388_n
Khalid Mohamed aka Top in Dar huongea kwa kujiamini na dharau kiasi ndani yake (ndivyo alivyo). Katika interview hupenda kuchanganya Kiingereza mara kwa mara ambacho anakimudu poa pia. Mfano mzuri ni kwenye U Heard ya juzi kati ya XXL, Clouds FM kuhusiana na kukwaruzana kwake na Salama Jabir. Mwishoni mtangazaji wa show hiyo Soudy Brown alimuuliza TID anafanya nini maskani, na TID kujibu, “Nipo naangalia tambala moja hivi kwenye 3D kwahiyo I need a lot of attention, I am very sorry can you hang up for me!!”
3. Mr Blue
blue
Blue amepunguza tu mbwembwe siku hizi lakini kama ingekuwa enzi zile, Godzilla asingefua dafu. Blue ni tozi kitambo na ndiye mhasisi wa utamkaji wa maneno ya Kiswahili kwa ladha ya kimombo kwa mfano kabisa itamkwe, kabaisa kitu kilichofanya kuzaliwa kwa aka yake Kabayser.

4. Fid Q 543741_10151360853036641_1727557302_n
Fid aka Ngosha si mkali tu wa mashairi yenye swagga za moto bali pia hata uongeaji wake. Pamoja na kwamba anatokea Mwanza ambako Kiswahili cha huko kimeathiriwa na kisukuma, Fid huongea kama kashuka jana kutoka states. Uongeaji wake akiwa redioni utadhani ana kigugumizi fulani kumbe ndio swag ziko on. Izingatiwe pia kuwa The Top of Rap’s elite ni profesa wa Kitaalojia.
5. P-Funk
PFunk
Majani ni muongoezaji mzuri sana redioni. Background yake ya elimu na kutembea sehemu kadhaa duniani, kumemfanya asound kama Mmarekani aongeapo kimombo.

6. Shetta
482682_173480782804671_508310274_n
Shetta aka Bonge la Bwana naye yumo. Anapokuwa akiongea redioni huwa haoni hatari kutupia maneno kadhaa ya kimombo kushtua kidogo.

7. Q Chilla
IMG_5202-400x6002
Chilla ana uongeaji wa taratibu lakini wenye mbwembwe za hapa na pale hasa za kuchomekea viingereza.
8. Izzo B
fe4d86ff65b7b8263ce545dccb7a3ac0
Uvaaji wa Izzo na uongeaji wake vinaenda sawa. Izzo ni bling blinger na hewani anapokuwa anahojiwa, hit-maker huyo wa Riz-one hutupia swagga kibao na kama anahojiwa na mtangazaji mbovu si ajabu yeye ndio akasound kama mtangazaji wa show, ana vocal kali.

9. Quick Rocka
24290_3772466809924_1396166688_n
Quick aka Switcher kama anavyojiita, ni rapper anayeswitch swag kama kinyonga anavyobadili rangi yake. Kama Izzo B, yeye pia ana sauti ya mamlaka hewani.

10. Mo Rocka
Sijui nini kilitokea kwa rapper huyu mtanashati lakini kwa speed aliyokuja nayo kama angekaza, angekuwa mbali. Wakati anaanza kupata umaarufu wengi walikuwa wakimfananisha na Kabayser hasa kwa jinsi anavyorap na hata uongeaji wake kwenye redio.

AUNT EZEKIEL ABAKI PEKE YAKE KWENYE KABURI LA KANUMBA

STAA kiwango wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel, amenaswa kwenye kaburi la marehemu Steven Kanumba peke yake baada ya watu wote kuondoka.
Tukio hilo lilitokea juzikati katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar ambapo tofauti na wasanii wengine waliofika kumuenzi marehemu aliyekuwa akitimiza mwaka mmoja kaburini, Aunt alibaki peke yake, akapiga magoti kaburini na kuanza kulia kwa uchungu.

Wadau mbalimbali waliohudhuria katika makaburi hayo, walishangazwa na tukio la Aunt kukaa makaburini kwa takribani dakika kumi huku wengine wakimuonea huruma kutokana na msanii huyo kushindwa kuzuia hisia zake.

“Kiukweli kila nikifika katika kaburi la Kanumba lazima nihisi kuchanganyikiwa. Kuna wakati mwingine siamini kabisa kama huyu mtu hatunaye tena hivyo nahitaji kubaki hata peke yangu kaburini nimsalie kisha niondoke,” alisema Aunt huku akifuta machozi.

JAMANI DADA ZETU HII SASA IMEZIDI: PICHA KAZAA MABINTI WAKIWA KATIKA MAHABA YA WAO KWA WAO


Hizi tumezipata facebook wakiwa wamepost kwenye kurasa zao, ina maana hii hali ipo kwa dada zetu, jamani wanaume wameisha au ni nini????????

 

These are the kind of pictures  you see our beautiful African ladies posting on their wall...
Well if they are able to share it on their wall that means they don't mind the whole world seeing them, right? Behold..





ZI







UFUSKA BONGO MOVIE. HIKI NDICHO HUWA KINAENDELEA WAKATI WAKIWA KAMBINI



KINACHOONEKANA kwa sasa Bongo ni ugumu wa serikali kupambana na vita dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi baada ya jamii kushindwa kubadilika na kuona ugonjwa huo ni wa kawaida kama ilivyo kukohoa au kichwa kugonga.
Hilo limedhihirika baada ya juzi chanzo chetu cha habari kupasha kwamba, baadhi ya wafanyabiashara na wabunge wameingia ‘kazi’ ya kuwanasa mastaa wa kike Bongo, hasa waigizaji wa filamu.


Kwa mujibu wa chanzo hicho, wafanyabiashara maarufu wa jijini Dar na baadhi ya waheshimiwa wabunge wamekuwa wakiwaibukia mastaa wanapokuwa kambini wakirekodi filamu na kuwahonga fedha nyingi sanjari na kuwanunulia magari ya kifahari ya kutembelea.

Inadaiwa wanachofanya baadhi ya mastaa, hasa wakiwa kambini, hupiga picha chafu wakiamini zina mvuto na kuzitundika BBM kwenye simu zao ambapo wafanyabiashara na wabunge hao wanapoziona huweweseka na kuanza msako wa kuwapata.
Chanzo kilisema: “Zamani mapedeshee ndiyo walikuwa wanaongoza kwa kuwachukua mastaa wa kike kwa kutumia picha za mitandaoni na kwenye magazeti, siku hizi mastaa wenyewe wamewashtukia, hawawataki mapedeshee, wanasema fedha zao ni za msimu.


“Siku hizi mastaa wakiwa kambini hupiga picha za hasarahasara na kuzitupia BBM, wafanyabiashara na wabunge wakiziona wanakimbilia kupanga foleni kwenye mahoteli ambayo mastaa hao wamepiga kambi.”


Aidha, chanzo kikasema kuwa baadhi ya wafanyabiashara huhonga kuanzia shilingi 1,000,000 hadi 5,000,000 kama staa ana jina kubwa.


“Kama staa ana jina kubwa, anaweza kuhongwa kuanzia milioni moja hadi tano, kama ni supastaa kama Wema, Wolper, Odama, Rose Ndauka hawa wanaweza kuhongwa hata magari ya kifahari,”kilisema chanzo hicho.


Chanzo kikasema kuwa, mbaya zaidi wanaume hao wamekuwa wakigoma kufanya mapenzi kwa kutumia kinga (kondom) kwa madai kwamba, hawawezi kuhonga pesa nyingi halafu kitandani wakatumia kondom kwani wanakosa raha.
“Kinachouma zaidi ni kwamba, hao wanaume wakiwachukua mastaa hadi chumbani wanakataa kutumia kondom, madai yao pesa wanazohonga ni ndefu (nyingi) kwa hiyo ni afadhali wafaidi, wanasahau kwamba Ukimwi upo.


“Kwa sababu ya tamaa ya pesa, dada zetu (mastaa) wanashindwa kuwa na msimamo wa kutumia kondom. Anaweza kukataa sana, lakini mheshimiwa anaahidi kumnunulia gari, hapo ndipo masharti yanalegezwa,” kilisema chanzo.



Chanzo kikasema kumekuwa na vilio na kusaga meno kwa baadhi ya mastaa kwani wanaponunuliwa magari, kadi zinakaa kwa wanaume hao, baadaye wanawanyang’anya.


“Mbaya zaidi, wapo mastaa waliwahi kushawishika na kutoa penzi bila kinga kwa ahadi ya kununuliwa gari, waliponunuliwa hawakupewa kadi ya kumiliki, baadaye wakanyang’anywa,” chanzo kilitoboa.


Baadhi ya mastaa waliozungumza na paparazi wetu walikiri kuwepo kwa wanaume wenye tabia hiyo, lakini kila mmoja akasema yeye haijamtokea.
Wolper: “Ni kweli, wapo wanaume wanabembeleza sana kutotumia kondom na kuahidi fedha au gari, lakini kama staa anakubaliana na ombi hilo ni kujiangamiza, Ukimwi unaua. Ila mimi sijawahi kukutana na mwanume wa hivyo, kwanza nilishasema ndani ya gari natembea na kondom.”


Jack wa Chuz: “Wewee, uamuzi wa kufanya hivyo ni wa mtu mwenyewe na umri wangu huu nikubali kufanya mapenzi bila kinga kwa sababu ya gari? Kwani gari kitu gani bwana.”


Nisha: “Mh! Nimewahi kusikia kuna wasanii waliingia kwenye mtego huo na sasa wanajuta maana hawana uhakika na afya zao, kwenda kupima wanaogopa, magari walishanyang’anywa, mimi aku!”


Flora Mvungi: “Mimi siwezi kusema kitu maana nina wangu, kama ni gari au pesa ananipa yeye, pole yao ambao hawajajipanga hadi leo.”


Aidha, chanzo kilisema kuwa, maeneo hatari ya kufanyika kwa michezo hiyo ni hoteli kubwa ambazo wasanii hupiga kambi kwa ajili ya kurekodi filamu.

HUYU YULE MSANII WA BONGO MOVIE ALIYELEWA MPAKA AKAVUA NGUO!!

 

Isabela "Vai wa Ukweli" akiwa chakali kwa mitungi.


Nguo zilikuwa nzito akaona ora apunguze uzito...Ulevi...Nomaaaa..!!

 Msanii anayechipukia katika tasnia ya kuigiza Isabela a.k.a "vai wa ukweli" alijikuta akiuza utu baada ya kufakamia pombe za buree toka kwa maswaiba wake wa karibu jijini Dar,nashuhuda wa tukio hilo wanadai alichanganya vileo. Tukio hili lilitokea jana usiku ikiwa ndo weekend imeanza ambapo muigiza huyu alijikuta anazidisha kunywa zaidi ya uwezo wa kichwa ndipo alipojikuta anasaula nguo bila kujua kwani alikuwa chakali full chapombe,baada ya muda kadhaa maswaiba wake walimpeleka kwao angali yuko taabani. Isabela ameigiza filamu na mastaa kibao ambapo kati ya movie saba alizocheza zinatarajiwa kutoka hivi karibuni kama vile Good fellow,2 eyes,Black Wear,Doa la maishaMen day out na nyingine nyingi very soon. Vai wa ukweli ndiye mpinzani wa Lulu katika matukio kama haya ikiwa wako tasnia moja na umri wao sawa ama kwqeli Lulu kapata mpinzani Isabela ni zaidi ya Lulu sasa.

Friday, April 12, 2013

HIVI MAADILI YA MTANZANIA YAMEENDA WAPI? TAZAMA PICHA HIZI HAPA UTOE TATHIMINI YAKO

SABABU ZILIZOKO NJE YA UWEZO WETU TUMESHINDWA KUWEKA PICHA HIZO KATIKA BLOG HII KWA AJILI YA MAADILI, KWA PICHA NYINGI NAZATOUTI TEMBELEA LINK HII HAPO CHINI.
http://audifacejackson.blogspot.com/2013/04/maadili-ya-mtanzania-yameenda-wapi.html

DUDU BAYA AMPONDA PROFESA JAY NA KUMWITA KUA NI MNAFIKI, SOMA ALICHOFUNGUKA DUDU BAYA HAPA

Siku moja baada ya Prof Jay kutoa maoni yake kupitia 255 ya kipindi cha XXL juu ya maswala ya Ringtones na Ringback tones,ambapo alielezea sababu za matatizo yanayoendelea katika upande wa Ringtones moja wapo ikiwa ni kutokuwepo na umoja katika wasanii wenyewe, baadhi ya mashabiki pia kwa kusapoti ngoma zisizo na maudhui mazuri ndani yake na media kupokea mizki mibovu, Dudu baya afunguka na kumuita ni mnafiki na kumfananisha na kunguru asie namabawa


"sijakubaliana na swala yeyekuzungumza sasa hivi ni mwanaharakati katika huu muziki na nna ushahidi wa kusema yeye sio mwanaharakati la pili natofautiana na yeye kusema  kwamba mziki ni big g hilo nalikataa kwasababu unavyoona vijana wa sasa hivi wanamziki kama Diamond, Ommy Dimpoz na wasanii wengine kama kina Rich mavoko, wanavyofanya wakati sisi tuhahit wanatutazama kwenye TV, na wanakuwa inspired na sisi na wanafurahia maendeleo yetu wanafurahia kushine kwetu halafu sasa hivi anasema mziki ni big g, hizo ni jelous za kichawi, na unaonyesha kwamba wewe umeshindwa, ushanielewa ndio maana nimetofautiana nae kwa kitu hicho, na hawezi kuwa mwanaharakati kwasababu nimeshawahi kukaa nae na kumwambia tufanye harakati hizi kuokoa mziki akasema harakati hizi ni ngumu, kwamba ni nzito siziwezi wakati nyimbo zake zinapigwa, lakini leo namshangaa anavyolia wakati nyimbo zake hazipigwi, watu kama kina Nikki na wasanii wengine ni kama kunguru wasio na mabawa............"

"hawa wasanii wa hiphop hata kwenye tua za basi wanakua hawaongei na wasanii wabana pua, wakiwekwa kwenye hoteli wanasema hawa wabanapua sikai nao, silali nao chumba kimoja, huo ni ushetani na ni upumbavu ambao umekithiri.....wanahiphop wa Tanzania ni wanafki, na ni wachawi wakubwa...hiphop lazima ujue maisha yako...wamekuwa ni wanafki wa kuongea kwenye radio...." 
 


SOMA NA KUSIKIZA STORI HII ZAIDI, BOFYA LINK HII HAPA CHINI:
http://www.bongoclantz.com/2013/04/dudu-baya-amponda-profesa-jay-na.html