Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Friday, December 20, 2013

ANGALIA PICHA JINSI MSANII DIAMOND ALIVYOTEMBELEA KITUO CHA WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU NA KULA NAO CHAKULA CHA PAMOJA

 Maisha yetu wengi ni ya mikiki mikiki ya hapa na pale ya kutafuta..nimekuwa bize mwaka mzima ..lakini siku  yangu ya leo baada ya Swalt Ijumaa niliitumia  kujumuika na watoto waishio kwenye mazingira magumu kilichopo  Buguruni ambapo nilipata wasaa wa ..kula nao pamoja ,kucheza..kubadilishana mawazo. lakini pia kutumia nafasi hiyo kuwaonyesha kwamara ya ,kwanza kabisa,video...