Blogger Widgets

Wednesday, February 26, 2014

baada ya bifu zito la muda mrefu baina ya Mecca Cheka na Jambo Squad lafikia ukingoni kwa style hii. soma hapa

baada ya bifu zito la muda mrefu baina ya Mecca Cheka na Jambo Squad limefikia ukingoni na kurekebisha tofauti zao walizokuwa nazo na hiki ndicho alichopost facebook Almando Mwiroro
"MECCA CHEKA vs JAMBO SQUAD nw we ar together again.. so MAALMANDO WATOTO WA BIBI is back again no bifu wala nin.. tunawapenda sana na tunaomba radhi kwa yote yalitokea mashabik wetu"

theHOODinfotainment inawapa BIG-UP KUBWA n MUCH RESPECT 

0 comments:

Post a Comment