Hapa ndio ile sehemu kupigwa nipigwe mie,police kawahi yeye, kibao nimegeuziwa mie

Malaika ameshashuka kutaka kusikiliza majanga ya wananchi yalivyokuwa mengi.

Mainda nae alikuwepo
Watoto wanaomba majanga yapungue kwa mana majanga yamezidi sana duniani
Kupata msosi maeneo hayo kidogo ni tabu mara kapita muuza samaki du watu wacha wamgombanie
Mamaa majanga
0 comments:
Post a Comment