Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Sunday, March 30, 2014

DIAMOND ATAMANI USHOGA!

NYOTA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amewashangaza watu kufuatia kuvaa wigi (nywele bandia) la mpenzi wake, Wema Isaac Sepetu, kitendo kilichotafsiriwa kuwa ni dalili ya kutamani mambo ya ushoga. Diamond alinaswa akiwa amevaa wigi hilo kichwani kisha kupiga nalo picha. ILIVYOKUWA Hivi karibuni, Diamond alinaswa akiwa amevaa wigi hilo kichwani kisha kupiga nalo picha huku Wema akilitafuta ili alitinge bila mafanikio. Habari...

BINTI KUTOKA KENYA ALIYE WAAMBUKIZA UKIMWI WANAUME KIBAO NCHINI KENYA SASA ANATOKA NA KIBABU CHA KIZUNGU, TAZAMA NA SOMA HAPA

  Mwanadada Vanessa Cheruto Chettle amabaye alithibitisha kuwa anaishi na HIV na ameshatembea na wanaume wengi bila kutumia kinga wakiwemo watu wenyemajina makubwa nchiniKenya...kamaShaffie Weru na Nick Mutuma ambao ni watangazaji maarufu nchini humo. Kwamujibu wa chanzo cha habari hizi (chengwon.com) Vanessa na huyo babu wakizungu mwenye asili ya kiyaudi walikutana kwenye mtandao wakijamii  baada ya babu kupitia akaunti yake kuandika...

Monday, March 24, 2014

Picha 25 za show ya Young Dee,Young Killer na Country Boy Maisha Club.

  Usiku wa kuamkia March 24 Mtu Chee walifanya show yao pale Maisha Club show hii waliipa jina la Akili za usiku ilikua ni show ya kwanza kuwepo Young Killer,Young Dee na Country Boy na kwa pamoja wakaperfoam wimbo wa Akili za Usiku. Miongoni wasanii waliokuwepo na kuperfoam usiku huo ni pamoja na Dogo Janja,God zilla,Mwana Fa,Young Dee,Young Killer na Country Boy,show hii ilipata sapraiz ya mwanadada kutoka kiwanda cha...

Sunday, March 23, 2014

KAULI YA MADEE NA BABU TALE VIONGOZI WA TIP TOPBAADA YA DOGO JANJA KUOMBA MSAMAHA ILI ARUDI TIP TOP

Baada ya Dogo Janja kuuomba msamaha kupitia vyombo vya habari uongozi wa Tip Top Connection na Madee aliyemtoa Arusha, Boss wa Tip Top Connection Babu Tale ameiambia tovuti ya Times Fm kuwa anataka rapper huyo aseme ukweli wa yote aliyoyasema awali baada ya kutoka Tip Top.  “Babu Tale ameweka wazi vipengele ambavyo anataka Dogo Janja aviweke sawa.  “Dogo anatakiwa aseme kama kweli aliibiwa, kama kweli alidhurumiwa na kama kweli hajawahi...

Saturday, March 22, 2014

UNAJUA NI KWANINI MSANII TINO ANALIA NA SHERIA YA USHOGA HAPA TANZANIA? ZAIDI SOMA HAPA

MCHEZA sinema za kibongo Hisani Msuya "Tino" ameitaka Tanzania nayo kupiga marufuku suala la jinsia moja 'Ushoga' kama ilivyofanya nchi ya Uganda baada ya hivi karibuni rais wao Yoweri Museveni kusaini sheria hiyo ambayo mtu yeyote atakayepatikana na kosa hilo kuwa anafungwa maisha. Akizungumza na tovuti hii, Tino alisema kuwa yeye ni miongoni mwa wanaharakati wanaopinga mapenzi ya jinsia moja nchini na ndiyo maana aliamua kutunga filamu...

BAADA YA DOGO JANJA KUOMBA MSAMAHA NA KUTAKA KURUDI TIP TOP HII NDIYO KAULI YA BABA YAKE MZAZI JUU YA SWALA HILO..!!

Alhamisi ya March 20 2014 lilitoka tamko ambalo lina maamuzi ya msanii wa bongofleva Dogo Janja kuhusu kuomba msamaha na kuhitaji kurudi kwenye kundi lake za zamani la Tiptop connection na kuyasahau yaliyopita kati yake na aliyekuwa meneja wake pia ambae ni Madee.Stori hii ina pande nyingi sana ambazo zitazungumza kupitia hapahapa kwenye tovuti hii lakini kwa kuanzia, baba mzazi wa Dogo Janja amepata nafasi kuzungumza kwa mara ya kwanza baada...

Wakati Wenger akitimiza mechi 1,000 leo – hizi ndio rekodi zake mbalimbali ndani ya Arsenal

Kocha Arsene Wenger leo katika mchezo dhidi ya Chelsea atatimiza mechi 1,000 tangu alipoanza kuifundisha klabu hiyo ya London ya Kaskazini. Akiwa anatimiza michezo hiyo – mtandao wa Opta unaodili na masuala ya takwimu za kimichezo umetoa ripoti ya rekodi mbali mbali za Wenger ndani ya michezo hiyo 1,000. Takwimu zinaonyesha katika mechi 1,000 ameshinda mara 572, sare mara 235, na amepoteza mechi 192. Ameshinda makombe matatu ya Premier League,...

Monday, March 17, 2014

WEMA, DIAMOND WACHAPANA

  Stori: WAANDISHI WETU Tayari kimenuka! Habari ya mjini wikiendi iliyopita ni madai ya njiwa wapendanao Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuchapana makofi laivu, Ijumaa Wikienda lina kisa na mkasa. Diamond. TIMBWILI STUDIO Kwa mujibu wa shuhuda wetu aliyekuwa eneo la tukio, timbwili hilo la haja lilijiri...

Friday, March 7, 2014

HIKI NDICHO ALICHOFUNGUKA DIAMOND KUHUSIANA NA YEYE KUWA

Exclusive Interview! Staa anayeuza zaidi kwa sasa kwenye muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ amefungukia skendo ambazo zimekuwa zikimtafuna kila kukicha huku akieleza kuwa, sasa anajuta kuwa staa, Ijumaa lina mzigo kamili. Akizungumza na paparazzi wetu katika mahojiano maalum wiki hii, Diamond alisema kuwa amekuwa akivumilia mengi ambayo yanaelekezwa kwake lakini sasa imefika wakati yanamuumiza kwani naye ni...