Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Tuesday, November 26, 2013

Diamond Aumbuka baada ya kudai alihudhulia harusi ya Peter Okoye wa P square huu ndio ukweli wake

Mwanamuziki wa P square, Peter Okoye ameoneshwa kushangazwa na taarifa kwamba mwanamuziki wa bongo fleva Naseeb Abdul alihudhuria harusi yake hivi karibuni nchini Nigeria na kuhudhuriwa na mastaa mbali mbali akiwenmo msukumba gozi wa Totenham Hotspurs Adebayor.Awali kupitia blogs mbali mbali kulisambaa taarifa kuwa dimond alikua mwanamuziki pekee afrika mashariki aliyealikwa katika sherehe hiyo iliyohudhuriwa na tajiri nambari...

Friday, November 22, 2013

BABU SEYA ALIA DUNIA HAINA HURUMA

Stori: Richard Bukos Hukumu iliyokaziwa na Mahakama ya Rufaa, Dar es Salaam, juzi (Alhamisi), ikipigilia msumari adhabu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya mwanamuzi mkongwe nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, imesababisha maumivu makali kwa wahusika.                                 ...

TAZAMA VIDEO YA SNURA "NIMEVURUGWA" UONE JINSI SNURA ALIVYOVURUGWA HUMO NDANI, MAUNO MWANZO MWISHO..!!

  August 2013 ndio Snura aliishusha single yake ya ‘nimevurugwa’ kwenye radio za bongo ikiwa ni miongoni mwa single zinazopata airtime bila kuwa na video lakini leo November 22 2013 kaishusha video on AyoTV… itazame hapa chini na uache maoni yako mtu wangu, atapita hapa baada ya saa 6. Snura alisema kwenye video ya ‘majanga’ hakuweza kucheza kama inavyotakiwa lakini huku kwenye ‘nimevurugwa’ ndio kajiachia....

Monday, November 18, 2013

Pichaz kutoka Club Bilicanas kwenye usiku wa ‘Ay road to #CHOAMVA’ @AyTanzania

    Wakati Watanzania wakiendelea kupiga kura kwa Mtanzania pekee alietajwa kuwania tuzo za Channel O 2013 (Ay) , usiku wa November 17 2013 kulifanyika party club Bilicanas Dar es salaam (AY Road to CHOAMVA 2013) ambapo mastaa kadhaa walionekana kwenye stage kumpa support Ay. Kumpigia kura Ay unaweza kutembelea...

ANGALIA PICHA DIAMOND AHUDHURIA HARUSI YA P-SQUARE

 Pichani ni Diamond Platnumz msanii kutoka bongo akiwa na bwana harusi Peter wa Psquare pale walipokutana huko Lagos Nigeria kwenye harusi ya Peter. Diamond yupo nchini Naija kwaajili ya utengenezaji wa video yake mpya ya wimbo Number One remix aliyomshirikisha msanii kutoka huko huko Naija anaitwa Davido. Nadhani tutegemee mambo mazuri sana kutoka kwa...

JAMBO SQUARDS NA LADY FIRE WATISHIWA KUUAWA ARUSHA

Kuanzia kushoto ni Nigger C, Ordinally na Lady Fire Exclussive akiongea na DjHaazu wa MJ FM Arusha mmoja kati ya member wanaounda kundi la Jambo Squard NIGGER C a.k.a Chaalii Mtoto wa bibi amefunguka kuhusu wao kutishiwa Kuuwawa na mtu ambaye anajihisi kuwa yeye ndiye Wamemuimbia wimbo unaokwenda kwa jina la KAKA KIBO ambapo ngoma hiyo ilitungwa na Vijana hao na kupewa nafasi ya kuiimba Mdogo wao anayejulikana kwa jina la...

Friday, November 15, 2013

HII NDIO LIST NZIMA YA WASANII WATAKAO PERFORM KATKA SHOW AMBAYO HAIJAWAIFANYIKA KATIKA ARDHI YA BONGO(P SQUARE)

  HABARI MPASUKO: Ben Pol na Joh Makini kupafomu na P-SQUARE Yule BEAUTIFUL ONYINYE Lazima aambiwe BEI YA MKAA ili awe tayari kuwa WA UBANI na atasema NIKUMBATIE maana NO ONE LIKE YOU. Mkali wa R&B Bongo Ben Pol na Mkali wa michano toka WEUSIII Joh Makini nao pia ni wasanii watakaopanda jukwaa moja na P-SQUARE siku ya Novemba 23. Hawa wasanii wanne tu toka Tanzania Lady Jay D, Ben Pol, Profesa J na Joh Makini ndio watapanda...

Thursday, November 14, 2013

Wafahamu watanzania wanne walioingia kwenye orodha ya matajiri 50 wa Afrika-2013

 Rostam Aziz aliyekuwa mbunge wa jimbo la Igunga, Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi, Said Bakhresa na mbunge wa Singida Mjini, Mohammed Dewji wameingia kwenye orodha ya Forbes ya watu 50 matajiri zaidi barani Afrika. Rostam Aziz ndiye aliyeibuka kidedea kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 1 na kukamata nafasi ya 27 kwenye orodha hiyo. Huku Mwenyekiti na mtendaji wa makampuni IPP,Reginald Mengi ameshika nafasi ya 34 akiwa...

Hivi Snura na Ngasa ni wapenzi?

Mshambuliaji wa timu ya soko ya taifa,Taifa Stars na Mchezaji wa Yanga  Mrisho Ngasa amenaswa live akiwa na muimbaji wa majanga “Snura Anton Mushi”. Bado haijajulikana wazi kama mastaa hao wawili wanauhusiano wa kimapenzi au labda wanaigiza movie? Mastaa hao wawili walinaswa live wakiwa kwenye nyumba ya Snura Anton Mushi iliyopo Mwananyamala jijini Dar es Salaam...

DIAMOND, PENNY KUMBE NDUGU

Na Shakoor Jongo MAAJABU! Jambo zito limefichuka kuwa mastaa walio katika uhusiano wa kimapenzi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Penniel Mwingilwa ‘Penny’ ni ndugu, AMANI limepekua na kupata mkanda kamili. Diamond na Penny katika pozi la kimahaba. Diamond kwa sasa ndiye mwanamuziki aliye matawi ya juu zaidi kuliko yeyote kwenye Bongo Fleva, akisumbua vibaya na kibao chake cha Number One wakati Penny akiingiza mkwanja kupitia utangazaji...

Wednesday, November 13, 2013

ANGALIA PICHA ZA SHEREHE YA MIAKA 75 YA RAIS MSTAAFU, BENJAMIN MKAPA

 Mandhari ya ukumbi uliofanyika sherehe ya kumpongeza Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa ya kutimiza miaka 75, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Msimbazi Center jijini Dar es Salaam,jana usiku.  Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, akijumuika na mkewe Mama Anna Mkapa na sehemu ya Familia yake kukata Keki, ikiwa ni ishara ya kupongezwa kwa kutimiza miaka 75.  Shambra shambra ukumbini wakati...