
Wakati Watanzania wakiendelea kupiga kura kwa Mtanzania pekee alietajwa kuwania tuzo za Channel O 2013 (Ay) , usiku wa November 17 2013 kulifanyika party club Bilicanas Dar es salaam (AY Road to CHOAMVA 2013) ambapo mastaa kadhaa walionekana kwenye stage kumpa support Ay.
Kumpigia kura Ay unaweza kutembelea www.channelo.com au piga kura kwa Best Gifted male video: sms 1D kwenda +2783142100415 na kwa Best gifted East video: sms 12D kwenda +2783142100415.

Watu wa nguvu kama kawaida walijitokeza.

Rapper Stereo, Wakazi na mtu wa nguvu


Dee Andy kutoka XXL ya Clouds FM, Reuben Ndege (Ncha Kalih) na Shadee kutoka @Clouds_TV

B12 kutoka XXL ya Clouds FM, FidQ na Sajjo.

Brothers wameshow love kwa Ay

Young Dee na watu wa nguvu

Jokate na Young D

Hawa Warembo ni miongoni mwa waliofungua show



Stere.


Godzillah
Ommy Dimpoz kazini

Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee





T.I.D na Ommy Dimpoz


Fid Q na shabiki



Ikafika zamu ya AY.




0 comments:
Post a Comment