Blogger Widgets

Monday, November 18, 2013

Pichaz kutoka Club Bilicanas kwenye usiku wa ‘Ay road to #CHOAMVA’ @AyTanzania

20 
Wakati Watanzania wakiendelea kupiga kura kwa Mtanzania pekee alietajwa kuwania tuzo za Channel O 2013 (Ay) , usiku wa November 17 2013 kulifanyika party club Bilicanas Dar es salaam (AY Road to CHOAMVA 2013) ambapo mastaa kadhaa walionekana kwenye stage kumpa support Ay.

Kumpigia kura Ay unaweza kutembelea www.channelo.com au piga kura kwa Best Gifted male video: sms 1D kwenda +2783142100415 na kwa Best gifted East video: sms 12D kwenda +2783142100415.
1 
Watu wa nguvu kama kawaida walijitokeza.
2 
Rapper Stereo, Wakazi na mtu wa nguvu
3
4 
Dee Andy kutoka XXL ya Clouds FM, Reuben Ndege (Ncha Kalih) na Shadee kutoka @Clouds_TV
5 
B12 kutoka XXL ya Clouds FM, FidQ na Sajjo.
6 
Brothers wameshow love kwa Ay
7 
Young Dee na watu wa nguvu
8 
Jokate na Young D
9 
Hawa Warembo ni miongoni mwa waliofungua show
10
11
12 
Stere.
13
14 
Godzillah
Ommy Dimpoz kazini
16 
Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee
17
18
19
21
22 
T.I.D na Ommy Dimpoz
23
24 
Fid Q na shabiki
25
26
27 
Ikafika zamu ya AY.
28
29
30
31

 

0 comments:

Post a Comment