Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Monday, December 31, 2012

MASTAA WA BONGO MOVIE WALIOFANYA VIZURI SOKONI KWA MWAKA 2012.

  Wema Sepetu Ifuatayo ni orodha ya mastaa 10 ambao wamefanya vizuri na kuuza filamu nyingi kuliko wengine ndani ya mwaka huu.JACOB STEVEN ‘JB’Huyu ni mwigizaji mkongwe kunako gemu la filamu Bongo. Kupitia kampuni yake ya Jerusalem, JB anakiri kuwa ndani ya mwaka huu amefanya kazi nyingi. Amecheza filamu 23 na zote zipo sokoni na zinafanya vizuri katika mauzo tofauti na mwaka uliopita. Unaikumbuka DJ Ben?STEVEN KANUMBA Marehemu...

SALAMU SPECIAL ZA MWAKA MPYA HIZI HAPA

theHOODinfotainment kupitia crew yake inayofuraha kubwa kukutakiwa heri ya mwaka mpya huu wa 2013, kwani wewe umekua na mchango mkubwa katika blog hii kwa miezi kaadha katika mwaka 2012, kutokana na mchango uliuonesha mwaka 2012 tunaomba uoneshe mchango mwingine zaidi ya uliuonesha mwaka jana. theHOODinfotainment pia, inatoapongeze za dhati kwa watu wanaoifuatilia kwa kina blog hii kila siku na kuifanya blog hii iendelee kutuburudisha na kutuhabarisha...

CHADEMA INAUMALIZA MWAKA VIBAYA KWA MWENDELEZO WA MAKAMANDA WAKE KUCHANA MAGWANDA

KUJIVUA UANACHAMA WA CHADEMA KUACHIA NYADHIFA ZOTE ZA UONGOZI NDANI YA CHAMA NA KUJIVUA UANACHAMA WA CHADEMA Ndugu wanahabari naomba mnifikishie taarifa hii kwa Watanzaniawenzangu wenye uchungu na nchi hii; Deogratius Kisandu (kulia) 1.1. UTANGULIZIKwa muda mrefu sasa kumekuwa na hisia hasi juu yangu na mkoa wa Tangakwa ujumla juu ya ushiriki wangu kwenye shughuli za chama. Natambuakwamba wapo ambao tayari...

Askari Aliyepiga Picha Na Lema Atokomea

 Na : Nuzulack Dausen JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema askari anayedaiwa kuwa jeshi hilo aliyepiga picha na Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema ametoroka. Msemaji wa JWTZ, Kanali Kapambala Mgawe alisema jana kwamba pamoja na hatua yake ya kutoroka, jeshi litaendelea kumsaka kwa udi na uvumba ili kumhoji na kujiridhisha kama kweli ni mwanajeshi wake kabla ya kumchukulia...

KWA WENYE LOVE NA DIAMOND PLATNUMS

...

Sunday, December 30, 2012

HIVI NDIVYO WALIFANYA DIAMOND NA OMMY DIMPOZ JUZI JE, KESHO WATAFANYA NINI? TOA THAMINI YAKO KAMA WEWE NI SHABIKI WA HAWA MARAIA.

...Chezea Diamond wewe! Watu weweee: Kila mmoja akiwa na shauku ya kumpa mkono Diamond. ...Leka dutigite: Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na Diamond wakiwapagawisha mashabiki kwa wimbo wa Leka dutigite. Ommy Dimpoz 'on da stage'! ...Dimpooo...zzz: Umati ukipiga yowe wakati Ommy Dimpoz akifanya kufuru stejini. ...Platinumz hewani: Diamond akiwa amebebwa juu na madansa wake. ...Nataka kulewa, zikinipanda nimwage radhi. ...Nature...

USITISHAJI WA MATANGAZO YA ANALOJIA NA KWENDA KATIKA MFUMO WA DIJITALI

TAARIFA YA MHE. JANUARY Y. MAKAMBA (MB), NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUHUSU USITISHAJI WA MATANGAZO YA ANALOJIA NA KWENDA KATIKA MFUMO WA DIJITALI Ndugu Wananchi, Mtakumbuka kuwa hapo tarehe 23 Februari 2012 tuliwatangazia kupitia vyombo vya habari juu ya usitishwaji wa matangazo ya televisheni kwa kutumia teknolojia ya analojia kwenda katika mfumo mpya unaotumia teknolojia ya dijitali. Napenda ...

HAYA NDIO MAGAZETI YANAYOTUFUNGIA MWAKA HII LEO, SOMA HAPA

...

ANGALIA HAPA PICHA YA DIAMOND KATIKA Interview YA X-LIVE JANA KUHUSIANA NA USIKU WA WASAFI 1/1/2013 MAISHA CLUB....

& Romy J & Quick Rocka Kwa mara ya kwanza jana kipindi cha X-Live kinachoendeshwa na mwanadada Peniel wa Dtv....Kiliruka hewani na President nilipata nafasi yakualikwa katika kipindi hicho na nilijiskia furahakuwa msanii wa kwanza kufanyiwa Interview katika kipindi hicho cha X-Live...Tulizungumza mengi ikiwemo Video zangu zote mbili Nataka Kulewa na Kesho...