
Rapa wa muziki wa kizazi kipya, Ney Wa Mitego akiwa katika pozi,
amesimulia yaliyomkuta kuhusu sare ya jeshi la Polisi. Picha na Maktaba
Na Herieth Makwetta, Mwananchi
Akizungumza na Mwananchi, rapa huyo alisema sare
hizo za polisi zilishonwa kwa ajili ya kazi hiyo na wala hazikuwa sare
halisi za kipolisi.
Dar es Salaam....