Blogger Widgets

Monday, October 28, 2013

‘FIESTA PART TWO’ YAFANA KINOMA LEADERS CLUB

Diamond akifanya mambo yake na madensa wake.
 
Davido akiwasalimia mashabiki.
 
Mmoja wa wapambe wa Davido.
Davido na mwenzake wakiwaimbisha mashabiki.
 
 Mrisho Mpoto na jamaa kutoka Push Mobile wakimtangaza mshindi wa gari mkoa wa Dar es Salaam.
 
Mtangazaji wa kipindi cha XXL, Adam Mchomvu, akiwapagawisha mashabiki.
 
TID Mnyama akifanya ‘mavitu’ yake.
 
…Akiendelea kukamua.
Diamond na Davido wakiimba My Number One Remix.
 
Fid Q naye alikuwapo.
TAMASHA la Fiesta awamu ya pili lililofanyika jana mchana katika viwanja wa Leaders Club, Kinondoni, Jijini Dar es Salaam,  lilifana na kuvuta maelfu ya mashabiki na kuwasahaulisha wengi yote yaliyojitokeza juzi usiku.
Onyesho hilo ambalo lilikuwa la bure, lilitoa burudani ya kukata na shoka ambapo lilihusisha majina makubwa ya wanamuziki wa kutoka nje ya nchi na ndani.

0 comments:

Post a Comment