Blogger Widgets

Wednesday, October 2, 2013

TISHIO LA AL-SHABAAB BONGO...HATARI NO.1

Na Richard Bukos

SIKU chache baada ya kundi la kigaidi la Al-Shabaab kutekeleza mauaji kwenye jengo la kibiashara la Westgate jijini Nairobi, Kenya na kusababisha vifo vya watu 69, baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar walipiga simu Global Publishers na kudai kuwa, baadhi ya maeneo Dar yamekuwa na ulinzi dhaifu kuhusu kupambana na ugaidi.
Walisema maeneo kadhaa Dar hususan yenye mikusanyiko ya watu, wapo wanaopita na silaha kama bunduki bila kugundulika, jambo ambalo walilitafsiri kama hatari kubwa katika nyakati hizi za vitisho vya kigaidi.
WATAHADHARISHA TISHIO LA AL-SHABAAB

Wakazi hao waliendelea…
Na Richard Bukos
SIKU chache baada ya kundi la kigaidi la Al-Shabaab kutekeleza mauaji kwenye jengo la kibiashara la Westgate jijini Nairobi, Kenya na kusababisha vifo vya watu 69, baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar walipiga simu Global Publishers na kudai kuwa, baadhi ya maeneo Dar yamekuwa na ulinzi dhaifu kuhusu kupambana na ugaidi.

0 comments:

Post a Comment