Blogger Widgets

Wednesday, October 9, 2013

DIAMOND, ACHAFUKWA NA ROHO KWA PRODUCER ALIYEVUJISHA "NIKIFA KESHO"

 

Kuvujisha Nyimbo yangu hakuwezi kunipunguzia 
wala Kunidhuru chochote... Sanasana utanizidishia 
Umaarufu na kunipa Show zaidi... Kama nimeacha kurecord nyimbo
 Studio kwako Uspanick, Relax.. tafta Msanii mwingine 
 Mkali zaidi yangu umrecordie Ngoma Ahit kushinda mimi...
.ila Kuvujisha Unajisumbua bure!

Hisia zangu za pelekea kuandika haya nikiwa na uzuni 
ndani yake kwa kuwa muda nilioutmia na akili nliotumia
 dhairi ni Mungu Pekee anajua ndio Maana aina budi 
namwachia Mungu pia....Imani iliyo ndani yangu nikiamini 
kuwa kutoa ya Moyoni uufanya Moyo kujengeka
 Upya,Mwenyezi Mungu Atanijenga Upya na kuwaandalia kitu kipya hiv
 karibun.Hii ni changamoto kwangu na Kuweza 
kujua sheria na katiba za Muziki wangu na
 kusimamia Haki zangu...... Nawapenda Sana Mashabiki Zangu..... 
 #WCB #CocaBoy for Life

DIAMOND PLATINUMZ ASIKITISHWA NA PRODUCER ALIYEVUJISHA WIMBO WAKE MPYA WA "NIKIFA KESHO"

Written By Emmanuel Shilatu on Wednesday, October 9, 2013 | 2:21 PM


"Kuvujisha wimbo wangu hakuwezi kunipunguzia 
wala kunidhuru chochote... Sana sana utanizidishia 
umaarufu na kunipa Show zaidi... kama nimeacha ku-record wimbo
  studio kwako usi-panick, relax.. tafuta msanii mwingine 
  mkali zaidi yangu umrekodie ngoma a- hit kushinda mimi...
.ila kuvujisha unajisumbua bure!

Hisia zangu za pelekea kuandika haya nikiwa na huzuni 
ndani yake kwa kuwa muda nilioutmia na akili nliotumia
 dhahiri ni Mungu pekee anajua ndio maana sina budi 
kumwachia Mungu pia....imani iliyo ndani yangu nikiamini 
kuwa kutoa ya moyoni hufanya moyo kujengeka
  upya, mwenyezi Mungu Atanijenga upya na kuwaandalia kitu kipya hivi
 karibuni. Hii ni changamoto kwangu na Kuweza 
kujua sheria na katiba za muziki wangu na
 kusimamia haki zangu...... Nawapenda mana Mashabiki wangu..... #WCB #CocaBoy for Life"
- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/10/diamond-platinumz-asikitishwa-na.html#sthash.q7RwEwNC.dpuf

DIAMOND PLATINUMZ ASIKITISHWA NA PRODUCER ALIYEVUJISHA WIMBO WAKE MPYA WA "NIKIFA KESHO"

Written By Emmanuel Shilatu on Wednesday, October 9, 2013 | 2:21 PM


"Kuvujisha wimbo wangu hakuwezi kunipunguzia 
wala kunidhuru chochote... Sana sana utanizidishia 
umaarufu na kunipa Show zaidi... kama nimeacha ku-record wimbo
  studio kwako usi-panick, relax.. tafuta msanii mwingine 
  mkali zaidi yangu umrekodie ngoma a- hit kushinda mimi...
.ila kuvujisha unajisumbua bure!

Hisia zangu za pelekea kuandika haya nikiwa na huzuni 
ndani yake kwa kuwa muda nilioutmia na akili nliotumia
 dhahiri ni Mungu pekee anajua ndio maana sina budi 
kumwachia Mungu pia....imani iliyo ndani yangu nikiamini 
kuwa kutoa ya moyoni hufanya moyo kujengeka
  upya, mwenyezi Mungu Atanijenga upya na kuwaandalia kitu kipya hivi
 karibuni. Hii ni changamoto kwangu na Kuweza 
kujua sheria na katiba za muziki wangu na
 kusimamia haki zangu...... Nawapenda mana Mashabiki wangu..... #WCB #CocaBoy for Life"
- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/10/diamond-platinumz-asikitishwa-na.html#sthash.q7RwEwNC.dpuf

0 comments:

Post a Comment