Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Friday, November 30, 2012

WASANII WA BONGO FLAVA NA HIP HOP, WALALAMIKIWA KUTOHUDHURIA MAZISHI YA SHARO MILIONEA. December 1, 2012

Kupitia  kituo cha luninga cha EATV ndani ya kipindi cha Frieday Night Live jana, kuna malalamishi kibao yaliyojitokeza kwa baadhi ya wasanii wa kike waliokuwa wakihojiwa katika kipindi hicho. Wasanii hao wakike wawili walionekana kukelwa na kushangazwa na kitendo cha wasanii wa miondoko ya bongo Flava hapa nchini kutojitokeza kabisaa katika mazishi ya msanii mwenzao Hussein Sharo milionea aliyepata ajali tarehe 26 majira ya saa mblili...

MASHUJAA BAND WAPATA AIBU YA KARNE

Kiiipe Yayooo...! Mwanamuziki JB Mpiana na bendi yake wakifanya vitu vyao baada ya kupanda stejini kwenye viwanja vya Leaders Club, Kionondoni jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo. Hapa ilikuwa ni mida ya saa 9:00 baada ya gwiji huyu kusubiri sana kutokana na mizinguo ya umeme wa TANESCO na pia wa jenereta kubwa lililotegemewa mahala hapo kuzalishia nishati hiyo usiku wa kuamkia leo (Desemba 1, 2012). Litapona kweli...?...

TANZANIA YAITAKA CNN KUACHA UPOTOSHAJI JUU YA MPAKA WA TANZANIA NA MALAWI

                                                   Serikali ya Tanzania imekitaka kituo cha televisheni cha Kimataifa cha CNN kusahihisha taarifa potofu ilizotoa kuhusu mgogoro wa mpaka unaoendelea kati...

Wednesday, November 28, 2012

safari ya mwisho ya mpendwa wetu sharo milionea mchana wa leo

 Mwili wa Marehemu Sharo Milionea ukiswaliwa mapema mchana huu kabla ya kupelekwa kwenye nyumba yake ya milele   Rafiki mkubwa wa marehemu Sharo Milionea,Mzee Majuto akiwa ameshikwa mkono wakielekea kwenye mazishi mapema mchana huu,Muheza mkoani Tanga.Picha Kwa Hisani ya Jiachie Blog...

Thursday, November 22, 2012

Kitabu kipya cha Hadithi| Miss Tanzania.

Katika kuelekea siku kuu za mwisho wa mwaka Masimulizi Entertainment wanakuletea kitabu cha hadithi ya Miss Tanzania amabayo ni tamu na itakusisimua zaidi kuliko ulivyo tarajia. Kitabu hichi cha masimulizi kitatoka na kuingia sokoni hivi karibuni. Kuweka oda yako mapema, wasiliana na MASIMULIZI Blog kupitia 0755 780131, 0764 294499, 0658 780131 ...

Cheki Dude lililodondoka usiku wa manane Kijiji cha Ruganzo wilayani Ngara mkoani Kagera na kusababisha hofu kubwa kwa wananchi.

  Kitu kinachosadikiwa ni bomu      Wataalamu wa mabomu kutoka Jehsi la wananchi wa Tanzania JWTZ kambi ya Biharamulo wameanza kazi ya kukagua kitu ambacho kimeanguka kwenye eneo la Ruganzo wilayani Ngara mkoani  Kagera. Kituo hicho ambacho baadhi ya watu wanasadiki kuwa ni bomu kina ukubwa wa sentimeta 50 na umbo kama la yai huku kikiwa na nyuzinyuizi kimeanguka jana usiku katika eneo hilo. Mkuu wa wilaya...

Monday, November 19, 2012

KAMA ULIMISS PICHA ZA RED CARPET YA CHANNEL O HIZI HAPA

Kama wewe ulimiss kuangalia Channel O Music Video Awards mwaka huu siku ya Jumamosi huko nchini South Africa basi hii ndio time yako ya kuangalia jinsi mastaa mbalimbali walivyotisha katika Red Carpet!!!!!!!!!!! MaEezy from Teargas. Looks like delelas are back. I love this dress.. DJ Zinhle reminding us why we need to go to the gym… Nigerian artist, Mo Cheddah. DJ Cleo please shave tuu? Or do I need to...

Wednesday, November 14, 2012

HATIMAE MTOTO ANETH SASA AENDELEA VIZURI BAADA YA KUKATWA MKONO WA KUSHOTO JANA

MTOTO ANETH AKIWA ANAENDELEA VIZURI BAADA YA KUMKATA MKONO WAKE WA KUSHOTO JANA ANETH AKUTAYARISHIWA CHAKULA NA MAMA YAKE MDOGO SLIVIA ANAEMUHUDUMIA HOSPITALINI HAPO KWA UJUMLA MTOTO ANETH SASA ANAENDELEA VIZURI NA ANAKULA CHAKULA VIZURI PIA TAARIFA TULIZOPATA MUDA SI MREFU MAMA YAKE MZAZI YUPO NJIANI KUJA MBEYA TOKA KAG...

KIPINDI CHA POWER BREAKFAST CHAMZAWADIA MENEJA WA OMMY DIMPOZ TIKETI YA NDEGE....

Kipindi cha Power Breakfast cha Clouds Fm kimemzawadia Meneja wa Ommy Dimpoz Mubenga Tiketi ya ndege Go and Return kama zawadi yake ya siku yake ya kuzaliwa....Birthday ilifanyikia New Maisha Club. Dimpoz,Halima Kimwana & Fe...

Tuesday, November 13, 2012

Dk. Margaret Mhando afanya ukaguzi wa Ujenzi wodi pamoja na mabasi ya wagonjwa wa Fistula CCBRT.

   Mkurugenzi  wa kitengo cha huduma za jamii wa Vodafone group, Andrew Dunnet akikagua moja ya mabasi yatakayo tumika kubeba wagonjwa wa Fistula, mabasi hayo yamenunuliwa katika mpango wa kupambana na Fistula uliochini ya CCBRT, Wizara ya Afya na Vodafone uliozinduliwa na Rais Jakaya Kikwete Februali 25. Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya walemavu ya CCBRT, Dr. Wilbroad Peter Slaa akimuonyesha maendeleo ya ujenzi Mkurugenzi...