Blogger Widgets

Wednesday, November 7, 2012

SHIRIKA LA KAZI DUNIANI(ILO) LIMETOA SEMINA NA VYETI KWA WANACHUO CHA HABARI ARUSHA (AJTC) MAPEMA JANA


Muendesha mada Mr. Bill Mushi (mfanyabiashara maarufu Tanzania na Marekani)ambaye alikua kiuvutio kwa wengi, akitoa mada mbele ya wanachuo.
mkurugenzi wa mafunzo AJTC kutoka kushoto Bw Joseph Mayagila akiwa na mkufunzi wa chuo hicho Mr. Ngobole wakifuatilia kwa umakini semina hiyo
wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari (AJTC) wakifuatilia kwa umakini kile kinachoeleza na mtoa mada

mtangazaji wa TAZAMA TZ Bw. Msechi akiambatana na wanafunzi wa KILIMANJARO FILM (hawapo pichani) nawao pia wamepata fursa ya mafunzo hayo.
vinywaji navyo vilikua ni sehemu moja wapo ya wanasemina angalau kupooza koo.
Director wa MUX MUM PRODUCTION Bw. James Ulomy ambaye pia ni mwanafunzi wa Diploma chuoni hapo akichukua kinywaji na keki
Bw. Amiry Omari (mbele) alifuatana na Charles Kikoricho  Mtangazaji wa MJ FM kuchukua vinywaji. Kushoto ni Bw.  Stanley ambaye  ameandaa  semina hiyo.
Vyeti navyo wanasemina hao walivipata papohapo. Bi Sakina Jumbe mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika ngazi ya Diploma ya uandishi wa habari akipokea cheti kutoka kwa Mkurugenzi wa Mafunzo AJTC
mwanafunzi wa ngazi ya cheti cha juu cha uandishi wa habari na utangazaji Bi. Fatuma akipokea cheti
Mkurugenzi wa ASILI YETU TANZANIA blog (www.victormachota.blogspot.com) Mr. Victor Machota akipokea cheti hiko kutoka ILO
CEO wa Wazalendo 25 Blog (www.wazalendo25.blogspot.com) akipokea cheti kuhitimu semina.
Mkurugenzi wa the HOO infotaiment YUSUF SHABANI akipokea cheti baada ya kumaliza mafunzo ya siku moja yaliyoandaliwa na Shirika la kazi Duniani (ILO-SIYB) pamoja na mashirika mengine kwa dhumuni la kuwafundisha wanahabari wanafunzi kujitambua wao ni nani na wanafanya nini na wanamchango gani katika jamii kwa hiki kizazi cha habari na mawasiliano.
cheti chenyewe hiki hapa...

0 comments:

Post a Comment