Jeneza lenye mwili wa Albert Mangweha likishushwa kaburini.
M2 THE P
amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake kipenzi ambaye
alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa ndani ya chumba kimoja
kabla ya mauti kumkuta Ngwea.
Rafiki
wa karibu wa marehemu Albert Mangweha, Mgaza Pembe 'M 2 The P'
akiumuaga swahiba wake katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.
PICHA KWA HISANI YA MITANDAO MBALIMBALI
0 comments:
Post a Comment