Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Wednesday, October 31, 2012

DIAMOND THE PLATNUM; UNAHABARI KUWA NYIMMBO MPYA WA DIAMOND NATAKA KULEWA KAMUIMBIA WEMA SEPETU! SOMA HAPA

MSANII anayeshikilia nafasi ya juu kwa sasa kwenye muziki wa kizazi kipya Tanzania Nasseb Abdul ‘Diamond’, inasemekana kuwa ameamua kutoa ya moyoni juu ya  Wema Sepetu katika ngoma yake mpya ya ‘Nataka Kulewa’, ambayo imezungumzia matukio yote yaliyomkuta alipokuwa na mwanadada huyo na mengine ambayo yalikuwa yanazungumzwa...

TUKIO KAMILI: BASI LA ABOOD NAMBA T 545 AZE LA KUTOKEA DAR KWENDA TUNDUMA LAPATA AJALI MAENEO YA SAE(MBILINYI) BAADA YA KUGONGANA NA KENTA LILILO SABABISHA AJALI HIYO, MMOJA AFARIKI HAPO HAPO!

 Hivi ndivyo basi La Abood lilivyo pata ajali baada ya kugongana na Kenta  Basi la Abood   Hivi ndivyo Basi Lilivyo Haribika   Haya ni mambaki ya Vioo vilivyo vunjika  Baadhi ya vitu vikiwa vimemwagika chini  Hili ni Scania ambalo lilikuwa likitokea Zambia   Dirisha likiwa limevunjika  Baadhi ya Abiria wakiwa wanapata maelekezo kutoka kwa polisi  Hapa...

Tuesday, October 30, 2012

TAMKO KUTOKA CHAMA CHA WANANCHI(CUF):SERIKALI INAUKUZA MGOGORO ULIOPO BADALA YA KUUDHIBITI

   Mkurugenzi wa Haki za Binadamu CUF Salim Bimani akifafanua jambo kupitia Katiba katika mkutano wake wa kupinga matumizi mabaya ya Operesheni inayofanywa na Jeshi la Polisi na Vikosi vya SMZ kuwatafuta wavunjifu wa amani.   Baba wa Marehemu Hamad Ali Kaimu ambaye mwanawe alifariki kutokana na kudaiwa kupigwa vibaya na vikosi vya ulinzi na Usalama akitoa maelezo kuhusu mauaji ya mwanawe    Waandishi wa...

Monday, October 29, 2012

MWANAFUNZI AJINYONGA MKOANI MBEYA

 Mwili wa Mwanafunzi wa darasa la tatu, Shule ya Msingi Iwambi, Jijini Mbeya Kervin Patrick (8) jinsia ya kiume ukiwa umefunikwa baada ya kufariki dunia kutokana na kujinyonga kwa kutumia kamba ya viatu katika bomba ya maji nje ya nyumba yao.  Baadhi ya majirani waliojitokeza kushuhudia mwili Mwili wa Mwanafunzi wa darasa la tatu, Shule ya Msingi Iwambi, Jijini Mbeya Kervin Patrick (8)  Mama mzazi wa marehemu...

AZAM WAMFUKUZA KOCHA WAO

Bunjak kulia akiwa na Kali Ongala na Daktari wa timu katika mechi ya juzi dhidi ya Simba Na Bin Zubeiry Blog  KOCHA Mserbia wa Azam FC, Boris Bunjak amefukuzwa rasmi leo na sasa aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Muingereza Stewart Hall anarudishwa kazi...

Wednesday, October 24, 2012

HII NDIO NDEGE ILIYOSABABISHA KIFO CHA KEPTEIN MAGUSHI BAADA YA KUPATA AJALI WAKATI AKILITUMIKIA TAIFA

Pichani ni muonekano wa ndege ya Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ), iliyopata ajali juzi. Ndege hiyo ndogo ya kijeshi ya mazoezi, (Military training aircraft) namba JW 9129 ilipata ajali na kusababisha askai mmoja kufariki na mwingine kujeruhiwa katika ajali hiyo wakati marubani wanafunzi wa jeshi wakitumia ndege hiyo kufanya mazoezi.   Mmoja wa wanajeshi hao, Kepten Deogratiusi Magushi, alifariki dunia na mwingine...

HILI NDIO GARI JINGINE AMBALO KUNDI LA KINA LORD EYES LINATUHUMIWA KUIBA.

. Siku moja baada ya Polisi kutangaza kwamba inamshikilia msanii Lord Eyes na mwenzake mmoja kwa tuhuma za wizi wa vifaa vya gari la Ommy Dimpoz huku wakikabiliwa na mashtaka mengine zaidi ya 30, walioibiwa wanaanza kujitokez...

Serikali kuivunja Bodi ya Mikopo

Serikali imesema inafikiria kuifumua na kuivunja Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kwa kuwa imeshindwa kukidhi matarajio ya serikali pamoja na Watanzania wengi kama ilivyotarajiwa wakati inaanzishw...

Tuesday, October 23, 2012

MAKAHABA WATATUMALIZA JAMANI......HII NI SEHEMU YA RIPOTI YA WIZARA YA AFYA

Utafiti wa hivi karibuni wa wizara ya afya na ustawi wa jamii unaonesha kwamba MAKAHABA waishio dar hufanya ngono zembe na wanaume 15000 kwa siku tena kwa gharama ya juu........  Biashara hiyo ambayo huwahusisha makahaba 5000 mpaka 10000  huwaingizia  sh. 50000 mpaka 200000 kwa mwezi kutegemea na uzuri wa kahaba husika......... Utafiti wa shirika la HIV Behavioural and Biological Surveillance ambao umetolewa weekend...

WANAFUNZI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA (AJTC) WALIVYOTEMBELEA CHUO CHA WALEMAVU USA-RIVER ARUSHA.

Wakufunzi na Wanafunzi wa chuo cha Uandishi wa Habari Arusha (AJTC ) Mr. Ngobole (mwenye shati jeusi kushoto) na Madam Neem Ezekiel (Mwenye Red na poch nyeusi) wakijadiliana kabla ya kutembelea sehemu mbali mbali za kituo hicho cha walemavu Usar-River Arusha. Mkurugenzi wa kituo hicho Mr. Diakon Claus Heim(Kulia) na Chaplin wa kituo hicho Mr. Elibariki Kaaya wakitoa maelekzo kwa ufupi. Wanachuo wakisikiliza kwa umakini Haya...