Blogger Widgets

Tuesday, October 2, 2012

YUNG OMEGA YUKO MBIO KUKAMILISHA VIDEO YA NGOMA YAKE YA "parry people"


Yung Omega ambaye anafanya vizuri kwa style ya miondoko ya ragge ilivyo tofauti na wasanii wenzake wa wanaotokea A.Town, Omega amefunguka na the HOOD infotainment na kusema kuwa, ngoma yake iko mbioni ya parii people, yuko mbioni kuanza kushot nchini ya Producer Isaack Chiwanga katika Studio ya Multmedia Production na kuwaambia  mashabiki wake wakae tayari kupokeo video yake hiyo mpya,
kwa mara ya kwanza ngoma hiyo utaiona hapahapa kupitia blog hii.
huyu ndie producer atakae simamia mchakato mzima kuanzia location, shooting, editing mpaka ngoma hiyo ikamilike chini ya multmedia production. Mr Isack Chiwanga

1 comment: