Blogger Widgets

Tuesday, October 23, 2012

WANAFUNZI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA (AJTC) WALIVYOTEMBELEA CHUO CHA WALEMAVU USA-RIVER ARUSHA.


Wakufunzi na Wanafunzi wa chuo cha Uandishi wa Habari Arusha (AJTC ) Mr. Ngobole (mwenye shati jeusi kushoto) na Madam Neem Ezekiel (Mwenye Red na poch nyeusi) wakijadiliana kabla ya kutembelea sehemu mbali mbali za kituo hicho cha walemavu Usar-River Arusha.
Mkurugenzi wa kituo hicho Mr. Diakon Claus Heim(Kulia) na Chaplin wa kituo hicho Mr. Elibariki Kaaya wakitoa maelekzo kwa ufupi.
Wanachuo wakisikiliza kwa umakini
Haya Twendeni kwenye eneo la washonaji wa Viatu ...
Green colourz ilitawala na usomaji mzuri wa bronchure
Viatu mabali mbali wanavyotengeneza walemavu wa kituo hicho.
Viatu vya wazi wanavyotengeneza walemavu wa kituo hicho.
Mafundi mashuhuri wakiwa katika karakana ya kutengenezea viatu tofauti tofauti....wakiwezeshwa wanaweza....!!
Hili ni eneo la ushonaji wa nguo mbali mbali ,maelezo yakitolewa na mkufunzi wa chuo hicho Bw. Rams Mosha.
Maelezo kidogo yakitolewa na mkufunzi wa eneo la ushonaji Bw. Rams Mosha.
Mavazi mbali mbali wanayotengeneza walemavu hao,maelezo yanatolewa na mkufunzi wa eneo la ushonaji Bw. Rams Mosha.
Madam Neema na wanafunzi wake wakifurahia Mavazi...Jamani kimini hichoooo!!!
Kimini hichooooo.....
Mavazi mbalimbali
Huu ni upande wa karakana ya Viungo Bandia (Orthopaedic Workshop) ,hapa maelezo yakitolewa na mtaalam wa eneo hilo Bw. Nanyaro
Hii ni mashine inayotengeneza Viungo Bandia (Orthopaedic Workshop) ,hapa maelezo yakitolewa na mtaalam wa eneo hilo Bw. Nanyaro

Hii ni mashine ya kukatia vitu vinavyotengeneza Viungo Bandia (Orthopaedic Workshop) ,hapa maelezo yakitolewa na mtaalam wa eneo hilo Bw. Nanyaro
Hii ni mashine ya kunyooshea vitu vinavyotengeneza Viungo Bandia (Orthopaedic Workshop) ,maelezo yakitolewa na mtaalam wa eneo hilo Bw. Nanyaro
Hili ni duka la nguo zinazo shonwa na walemavu wa kituo hicho,Madam Neema(mkufunzi wa chuo cha uandishi wa habari Arusha) akifurahia vazi hilo.


Mtangazaji wa kituo cha radio cha MJ FM ARUSHA .Bw Charles akipata picha ndani ya duka la vitu mbalimbali wanazotengeneza walemavu katika chuo hicho.


Zawadi zikiwasilishwa na kiongozi wa wanachuo cha habari cha Arusha(AJTC) YUSUF SHABANI
Mkufunzi wa chuo cha uandishi wa habari Arusha (AJTC) Bw, Ngobole Andrea akitoa zawadi zilizoletwa na wanachuo hao.
Mkufunzi wa chuo cha uandishi wa habari Arusha (AJTC) B, Neema Ezekiel akitoa zawadi zilizoletwa na wanachuo hao.
Picha ya pamoja na baadhi ya wanachuo wawili wa chuo cha walemavu Usar-River Arusha pamoja na wanachuo cha uandishi wa habari Arusha (AJTC).
Kamera man wa kipindi cha STREET CONER(kushoto mwenye orange t-shirt) akipiga picha ya pamoja na baadhi ya wanachuo wawili wa chuo cha walemavu Usar-River Arusha, pamoja na wanachuo cha uandishi wa habari Arusha (AJTC).
Madam Neema Ezekiel akipiga picha na wanachuo cha ulemavu cha Usar-River Arusha
Kiongozi mkuu wa wana-AJTC (mmiliki wa the HOOD infotainment  blog) YUSUF SHABANI (YUSHA) akipiga picha na wanachuo cha ulemavu cha Usar-River Arusha
Presenter wa kipindi cha television STREET CONER, wa AJTC TV akipata machache toka kwa wanachuo cha ulemavu cha Usar-River Arusha.  
KARIBU ARUSHA JOURNALISM KWA MAFUNZO BORA YA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI WA TV NA REDIO, Kwa maelezo zaidi tembelea www.ajtc.ac.tz

1 comment:

  1. KUWA KARIBU NA JAMII NI NIA NZURI YA KUJITANGAZA NA PIA KUPATA MAFANIKIO MAKUBWA KWA HARAKA ,NAPONGEZA JITIHADA HIZI ZINAZOFANYWA NA CHUO CHANGU AJTC.....

    ReplyDelete