Blogger Widgets

Thursday, October 18, 2012

LUCKY DUBE ATIMIZA MIAKA KADHAA HII LEO TOKA AFARIKI

Naweza kusema kwamba katika muziki wetu wa Reggae hapa Africa tulimpoza mwenzetu ambaye alitutangua katika njia za haki huyu si mwingine alis Lucky Philip Dube lakini katika upande wa muziki mashabiki wanamfahamu kwa jina la Lucky Dube.Sasa basi kwa siku ya leo amefikisha miaka mitano toka afariki siku kama hii ya leo tarehe 18 october.Rest in peace For him tutaendele kumkumbuka kwa kazi zake nzuri za muziki wa hapa African.
 

0 comments:

Post a Comment