Blogger Widgets

Wednesday, August 22, 2012

BI KIDUDE TAABAN KITANDANI




Taarifa toka Zanzibar zinadai kuwa Legendy wetu 'Bi.Kidude' anaumwa sana na hana msaada wowote.
Inadaiwa kuwa mjukuu wake alizungumza na Television ya Zanzibar na kulalamika kuwa Bibi yake hana msaada na hivyo anamuuguza kwa shida. Taarifa zaidi zinasema Bibi anaumwa tangu wiki iliyopita, hamna mdau hata mmoja wa muziki aliyejitokeza kumsaidia hivyo anatoa wito kwa wadau wenye uwezo wajitokeze kumsaidia Bibi ili apate matibabu na kurejea kwenye hali ya kawaida.
MUNGU AWE NAWE OUR LEGENDARY

0 comments:

Post a Comment