Blogger Widgets

Monday, August 27, 2012

HIVI NDIVYO SERENGETI FIESTA 2012 TANGA ILIVYOKUA.

Posted: 28th August 2012 by yusha
.
B12 mkali wa XXL ya CLOUDS FM ndio alihost show akishirikiana na Adam Mchomvu.
Adam Mchomvu, mkali mwingine wa XXL aliehost show fresshhhh kabisa.
Nuru akiwa kazini.
.
.
.
Recho nae alifanya poa sana.. kuna video yake hapo chini jinsi alivyovionyesha viuno pamoja na dancers wake.
.
.
Stamina kama kawa.
Dancers wa THT, ukali wao unaweza kuuona kwenye video yao hapo chini pia..
Shetta.
Dancers wa Shetta.
Ferooz.
Baadhi ya wakali wa bongo movie walikuepo pia… hapa ni Steve Nyerere akiwa na Shilole.
.
Steve Nyerere na Aunt Ezekiel.
.
Wema Sepetu, Aun Ezekiel, Shilole na JB.
CMB Prezzo.
.
.
.
.
Linah Sanga.
.
endelea kutembele http:yushathhood.blogspot.com itakua inakuletea matukio yote ya SERENGETI FIESTA 2012 na retiba nzima ya show zote zitakazofanyika katika kila mkoa.

0 comments:

Post a Comment