![]() |
Wachezaji wa Yanga, kutoka kulia Haruna Niyonzima, Oscar Joshua na Athumani Iddi 'Chuji' wakijadiliana wakati mchezo uliposimama kwa muda ili Barthez atibiwe baada ya kuumia |
![]() |
Mshambuliaji hatari wa Azam FC, Kipre Tchetche raia wa Ivory Coast, akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Yanga, Kevin Yondan. |
![]() |
Niyonzima (8) aliyeshikana mikono na Hamisi Kiiza akielekea eneo la mashabiki wa Yanga kushangilia baada ya kufunga |
![]() |
Mabeki; David Mwantika wa Azam mbele akikabiliana na Kevin Yondan wa Yanga |
![]() |
John Bocco akimiliki mpira mbele ya beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' |
![]() |
Mchezaji bora wa mechi ya leo; Haruna Niyonzima akiwa ameupitia mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Azam, Seif Abdallah |
![]() |
Hamisi Kiiza kushoto akigombea mpira na David Mwantika, kulia ni Chuji na Salum Abubakar 'Sure Boy' |
![]() |
Jerry Tegete akipiga shuti huku David Mwantika akiweka mguu |
![]() |
Kipa Ally Mustafa 'Barthez' akiinuka baada ya kutibiwa na Daktari, Nassor Matuzya. Mbele yake ni Yondan akimfuatilia |
![]() |
Simon Msuva akienda chini baada ya kupigwa kwanja na beki wa Azam |
![]() |
Kikosi cha Azam leo |
![]() |
Kikosi cha Yanga leo |
![]() |
Barthez amelala chini baada ya kuumia, huku mshambuliaji wa Azam, John Bocco 'Adebayor' akizungumza na refa Hashim Abdallah |
![]() |
Niyonzima akimtoka Mieno |
![]() |
Barthez anadondoka na mpira baada ya kuudakia juu |
![]() |
Hamisi Kiiza akimueleza jambo beki wa Azam, Mwantika wakati kipa Mwadini Ally akiwa amelala chini baada ya kuumia. Wengine kushoto ni Didier Kvumbangu na refa Hashim Abdallah |
![]() |
Barthez akiwapanga mabeki wake (hawapo pichani) wakati Azam wanapga mpira wa adhabu |
![]() |
Kavumbangu akipasua ukuta wa Azam |
![]() |
Kiiza kushoto akiwatoka mabeki wa Azam |
![]() |
Chuji akinawa maji kupoza mishipa ya kichwa |
![]() |
Kocha wa Azam, Stewart Hall akitoka uwanjani kinyonge baada ya mechi |
![]() |
Refa Hashim Abdallah akisindikizwa na Polisi kutoka uwanjani baada ya mechi |
![]() |
Wachezaji wa Azam wakimzonga refa wakimtuhumu kumaliza mechi kabla ya muda |
![]() |
Kocha wa Yanga, Ernie Brandts wa Uholanzi akiwapungia mikono mashabiki wake baada ya mechi |
![]() |
Hamisi Kiiza kulia akigombea mpira na beki Joackins Atudo wa Azam |
![]() |
Msuva akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Azam |
![]() |
Joackins Atudo akimuondoa njianui Msuva |
![]() |
Jerry Tegete akimtoka Salum Waziri wa Azam |
![]() |
Tegete amepiga tik tak mbele ya mabeki wa Azam |
![]() |
Niyonzima akiambaa na mpira mbele ya wachezaji wa Azam |
![]() |
Niyonzima anamtoka Mcha |
![]() |
Niyonzima anamtoka Mcha |
![]() |
Viungo bora; Salum Abubakar 'Sure Boy' wa Azam akigombea mpira na Frank Domayo wa Yanga. Nyuma ni Chuji akiwa tayari kuingilia |
![]() |
Sure Boy anaambaa na mpira pembeni ya Tegete |
![]() |
Frank Domayo akimvisha kanzu Kipre Tchetche |
![]() |
Sure Boy anamtoka Kavumbangu |
![]() |
Sure Boy anawatoka viungo wa Yanga Domayo na Chuji kulia. Mbele ni Yondan(PICHA ZOTE NI KUTOKA BONGOSTAZ.COM) |
0 comments:
Post a Comment