Blogger Widgets

Wednesday, January 30, 2013

JUSTIN BIEBER AMPAPASA MAZIWA SHABIKI WAKE WAKATI WA MEET AND GREET

What a handful: Justin Bieber poses for a cheeky shot with a fan as he cups her breast during a Miami meet and greet session 
anaonekana slow by slow akiupa mgogo u good boy aliokuwanao kama kijana mdogo tangu aingie kwenye game ya mziki.
na sasa Bieber mwenye miaka 18, anaonekana kuendelea kuvuka mipaka zaidi na zaidi hasa upande wa mashabiki wake.
baby boy hit maker ameonekana akiopapasa nyonyo ya shabiki wakati wa  "meet and greet session, Miami siku ya juma tatu.kilichoshangaza zaidi ni pale ambapo watu walidhani shabiki huyo atashtuka au kukasirishwa na kitendo hicho, lakini badala yake alionekana kutokushtuka na hata kumpa bonge la smile.

0 comments:

Post a Comment