Blogger Widgets

Wednesday, January 30, 2013

members wawili wa kundi la waturutumbi wapo dar kufanya ngoma zao



  members wawili wa kundi la waturutumbi wapo dar kufanya ngoma zao binafsi na moja ya kundi ni docca na head fire ambapo watapita fish crab,one recors na halisi records.  Wakikamilisha ngoma hizo kupitia theHOODinfotainment utazipata hapahapa soon, huu ndio ujio mpya wa mwaka 2013 WATURUTUMBI wakiwa chini ya mtu mzima Stoppa wanavyo kwa kukamilisha ngoma zao tofautitofauti za kundi na mtu mmojammoja kutoka katika kundi hilo.

0 comments:

Post a Comment