Blogger Widgets

Monday, January 28, 2013

USIKU WA DIAMOND PLATNUM ULIVYOKUWA NI BALAA..PENNY NAYE ALIKUWEPO.DUH DIAMOND NI NOUMER MAZEE


Wasafi Dancers wakiwa Ready for Show......!!
Romeo J akiwa na Mama Naseeb in da House...!!
Penny & Halima walikuwepo kufanikisha usiku wa Diamond Platnumz unakuwa usiku wa Kukumbukwa Kigamboni..!!


From Left Dulla,Casto Dickson,Penny,Esma Platnmz & Dallas the Boss.....walikuwepo kutoa support...!!
Halima Kimwana Along side with Mama Naseeb & Penny Mungilwa
Hapa nikiwasili kwenye viwanja vya Navy Beach Kigamboni.....!!
Mashetani sasa si ndo yakapanda Kabla ya show...mapemaaaa

Rj kwa moja na mbili sasaaaa...haya twendeeeee
Nikaanza kusema nao mtoto wa kimanyema


Mpelampela tu hapa hakuna kusimama

Umati uliojitokeza haukuwa Nyuma kurecord kila kinachoendelea...!!
Kwa stage moto ulikua bado wa hatari aseeee.......

Wakitaka niendelee kumwaga radhi....
Mashabiki wakiwa bado na kiu ya burudani



Niendelee ama nisiendeleeee......?nasubiri jibu




Nikundelea kukonga moyo tu mpaka kielewekeeeee......
Tumeelewanaaa......
Nikiwashukuru Mashabiki wa Kigamboni kwa support kubwa walionesha kwa PRESIDENT...!!
baada ya show tukiwa eneo la kivuko kusubiri panton kuturudisha dar au vipi bana....hapo RJ wit THE TRU BOY(NEY)
Dome Platnum & Emma Platnum....wasafiiii beybeeee!!

peace out au vipi.....?
Picha ya pamoja na Ney wa Mitego a.k.a The True boy....!!
Picha ya Pamoja na watu wangu wa nguvu

0 comments:

Post a Comment