HAKIKA wazazi wanaosomesha mabinti lazima wataumia wakisoma kisa hiki kilichojaa ufuska wa kutisha, Amani linakupa kwa undani.
Mwanafunzi wa kike aliyetajwa kwa jina moja la Agness, hivi karibuni alijifungia chumbani na njemba mmoja aitwaye Colvin na kufanya ngono zembe huku wakijirekodi na kujipiga picha za video wakidai ni kumbumbu yao.
HAKIKA wazazi wanaosomesha mabinti lazima wataumia wakisoma kisa hiki kilichojaa ufuska wa kutisha, Amani linakupa kwa undani.
Mwanafunzi wa kike aliyetajwa kwa jina moja la Agness, hivi karibuni alijifungia chumbani na njemba mmoja aitwaye Colvin na kufanya ngono zembe huku wakijirekodi na kujipiga picha za video wakidai ni kumbumbu yao.
Inadaiwa kuwa binti huyo aliaga kwa wazazi wake kwamba anakwenda chuoni lakini hakufika na kukutana na mpenzi wake huyo na kujifungia chumbani.
Mwandishi wetu alianza kufanya utafiti na hatimaye kupata habari za Colvin ambaye inadaiwa kuwa ni mchezo wake kuwarekodi wanawake anaokuwa nao faragha.
Baada ya kupata habari hizo, paparazi wetu aliwatafuta wahusika wanaoonekana katika video hiyo ili kutaka kujua sababu ya kufanya hivyo.
Kwa upande wake, Agness awali alijaribu kutaka kumhonga mwandishi wetu fedha ili asichapishe picha hizo gazetini.
“Basi nikutumie hela usitoe hiyo habari na je, tukutane wapi ili nikupe hiyo hela…?” ilisomeka meseji ya Agness.
Msichana huyo alipoona kuna ugumu wa suala hilo kutimia akabadili maneno na kusema:
“Kwani kuna ubaya gani kujirekodi tukifanya mapenzi na mwandani wangu? Kama amekuwa akifanya hivyo kwa wanawake wengine miye sijali,” alisema Agness.
Kama vile haitoshi, Agness akaanza kutukana matusi mazito kwa mwandishi wetu ambayo hayaandikiki gazetini.
0 comments:
Post a Comment