Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Monday, April 22, 2013

HIVI ULISHAZIONA PICHA NYIIIINGI! ZA SAFARI YA DIAMOND KUTOKA DAR KWENDA ZANZIBAR MSIBANI WA BI KUDUDE? ANGALIA HAPA HOUNE ILIVYOKUWA

Nilipopata taharifa za Msiba Huu.....Nilishitushwa sana..... lakini kadri muda ulipokuwa unazidi kwendandio imani ikazidi kuniingia moyoni kuwa kweli bibi yetu  kipenzi,Legendari wa muziki wa tanzaniaatunae tena dunia....Nilisikitika sana na majonzi tele  yalitawala moyoni mwangu......Nilikuwa nipo nyumbani nikijianda na safari yangu ya kwenda  Mkoani lakini nilihairishana kuamua lazima nikamzike bibi,Japo mkoani...

Video ya ‘Sio Mimi’ ya Madee inachochea usagaji? Tazama picha za utata hapa

  Video iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ya wimbo wa Madee ‘Sio Mimi’ hatimaye imetoka. Ni video kali lakini ina tatizo moja. Ingia ndani kuona ni lipi. Ndani ya video hiyo kuna sehemu inayoonesha wasichana wakinyonyana ndimi na hivyo kuchochea masuala ya usagaji. Sehemu hiyo inaweza kuchangia video hii kupigwa vita. Picha za wasichana wakinyonyana ndimi kwenye video hiyo  ...

Thursday, April 18, 2013

MSIBA WA BILIONEA BABU SAMBEKE WAZUA GUMZO,,,,VIGOGO WATAWALA MSIBANI .... TUKIO KAMILI LA MAZISHI LIPO HAPA

Jamal Sambeke mtoto wa marehemu akifunga jeneza la baba yake mara baada ya watu mbalimbali kutoa heshima zao za mwisho nyumbani kwake njiro Themi Mkoani Arusha Waombolezaji wakibeba jeneza la Bilionea Babu na kuweka kwenye gari maalumu tayari kwa safari kuelekea Moshi kwa mazishi Watu wakitoa heshima za mwisho Watoto wa marehemu Sia na Getrude waliovalia nguo nyeupe Jamal akifunga jeneza la marehemu Babu Sambeke Jaji Aisha...

Wednesday, April 17, 2013

DIVA LOVENESS LOVE amtumia ujumbe huu mfupi wa maneno WEMA SEPETU. UJUMBE WENYEWE HUU HAPA

Kupitia account yake ya Instagram mwanadada Diva Loveness Love anayetangaza Clouds FM kwenye kipindi cha usiku Ala za Roho, inasemekana kuna mtu amefungua account ya facebook kwa jina hilo la diva na kuanza kumporomoshea mvua ya matusi mwanadada Wema Sepetu. ...

Angalia Picha mbalimbali za Maandalizi ya Mazishi ya Marehemu Bi Kidude.

Gari lililokuwa limeubeba mwili wa msanii mkongwe wa muziki wa tarab, marehemu Fatuma Binti Baraka 'Bi. Kidude', likiusafirisha kutoka katika Kijiji cha Kihinani na kuupeleka nyumbani kwake Rahaleo kwa matayarisho ya mazishi yatayofanyika kesho mchana katika Kijiji cha Kitumba, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja. (Picha zote kwa hisani ya Othman Maulid wa ZanZinews) Mwili wa marehemu ukishushwa katika gari wakat...