Blogger Widgets

Wednesday, April 3, 2013

BAADA YA WEMA SEPETU KUMLIPIA FAINI NA KUMUEPUSHA NA JELA, KAJALA AMEAMUA KUFANYA HILI

.


Siku kadhaa baada ya mwigizaji Wema Sepetu kulipa milioni 13 na kumalizana na faini iliyokua inamkabili mwigizaji Kajala aliyotakiwa kulipa Mahakamani baada ya kupatikana na hatia kwenye kesi yake, mwigizaji Kajala alieguswa na wema wa Wema, ameamua kochora mgongoni tattoo ya jina la Wema.
Wema Sepetu amesema kwamba Kajala alikwenda nyumbani kwake na kuchora hii tattoo bila kumwambia, Wema alipouliza kuna nini mbona kama kuna kitu kinaendelea, Kajala alimwambia mtu wa Tatoo asimwambie mpaka walipomaliza kuchora ndio wakamwonyesha huku Kajala akimwambia Wema ni shujaa wake kwa alichofanya.

0 comments:

Post a Comment