Blogger Widgets

Tuesday, April 9, 2013

John Cena amgaragaza The Rock na kuwa bingwa wa WWE

Picha: WrestleMania XXIX –

Mashabiki wa John Cena wamefurahi wiki hii baada ya juzi (7 April) kumshinda mpinzani wake Dwayne “The Rock” Johnson kwenye WrestleMania XXIX.
wrestlemania-xxix-01
wrestlemania-xxix-02
wrestlemania-xxix-03
Kutokana na ushindi huo, Cena kwa sasa anashikilia ubingwa wa WWE. The Rock alikuwa akijiamini sana kabla ya mechi hiyo kwa kutweet, “Its on. Biggest #Wrestlemania of all time. Greatest night of my career.”
wrestlemania-xxix-04
wrestlemania-xxix-06
wrestlemania-xxix-07
wrestlemania-xxix-08
wrestlemania-xxix-09
Baada ya mechi hiyo, kupitia Facebook leo The Rock ameandika:
“Sometimes you pay the price..Midway thru my Wrestlemania match I tore my Abdominal & Adductor tendons off my pelvis. Yeah.. that shit hurt.;)
Thank you Dr Lee Kaplan & Univ of Miami medical staff for the exceptional work. Rehab starts in 3..2.. BRING IT.”

0 comments:

Post a Comment