Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Monday, September 30, 2013

UKWELI JUU YA MAISHA HALISI YA DIAMOND WAANIKWA ... NI HUU HAPA

UKWELI JUU YA MAISHA HALISI YA DIAMOND WAANIKWA ... NI HUU HAPA Written By Emmanuel Shilatu on Saturday, September 28, 2013 | 9:25 PM Mdogo wa Diamond ameamua kumuumbua kaka yake.Kayaanika maisha yake yote tangu akiwa underground hadi star...Dodo anadai Diamond alikuwa ni muuza supu ya ngozi, mswaki alikuwa anapiga mara moja kwa wiki...Inadaiwa Diamond alikuwa ni mnywa Gongo, chokoraa na mengine kibao...

ANGALIA PICHA YA MWANAUME ANAYEWEZA KUKAANGA KUKU KWENYE MAFUTA KWA MIKONO YAKE BILA KUUNGUA

Mwanaume huyo (52) mkazi wa jiji la Chiang Mai ambaye ni mpishi huko Thailand, ana uwezo wa ajabu wa kuzamisha mikono yake katika mafuta yenye moto wa digrii 480 bila kuungua na amedai kuwa huwa hasikii maumivu ya aina yoyote wala ngozi ya mikono yake haidhuriki na mafuta ya moto mkali. Mr Trichan anashikilia rekodi ya dunia kwa kukaanga vipande 20 vya kuku katika mafuta ya moto wa 480c ndani ya dakika 1. Kutokana...

JimmyMaster ft Kisuke Matoke & SpacDawg-Bado Nahaso

Download "Bado Nahaso" wimbo wa JimmyMaster akiwa amemshirikisha Kisuke Matoke & SpacDawg mzigo toka studio za Noizmekah Arusha bofya HAPAHAPA kuisikiliza ngoma na kwa mawasiliano zaidi check na Jimmy Master aka Mnyampaa kwa nambari +255 655 499 318...

WEMA AENDA KUFANYIA BETHIDEI CHINA!

Wema Isaac Sepetu (kulia) akipozi na Aunty Ezekiel wakati wa pati ya ‘bethidei’ yake. Na Imelda MtemaJEURI ya Fedha! Wema Isaac Sepetu a.k.a Madam ameenda Hong Kong nchini China na kufanyia huko bonge la pati ya ‘bethidei’ yake wakati akitimiza umri wa miaka 25 huku staa mwenzake, Aunty Ezekiel akiungana naye akitokea Dubai.… ...

Thursday, September 26, 2013

ANGALIA PICHA ZA AWALI ZA KWANZA ZINAZO ONESHA JINSI WESTGATE ILIVYO HARIBIWA.

Carnage: The collapse came on Monday, shortly after large explosions rang out followed by billows of smoke Destruction: Cars are strewn among the carnage, which was caused by Kenyan soldiers who fired rocket-propelled grenades inside the complex, knocking out a support column, a government official said Conflicting reports: A minister said the terrorists...

HAYA HAPA MAJINA YA VIJANA WA KIDATO CHA SITA KUJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA AWAMU YA TATU TAREHE 28 SEP 13...

BONYEZA HAPA KUYAO...

CHEKI WACHINA HAWA WAKITAKA SIFA KUINGIZWA KATIKA RECORD YA DUNIA WALIVYOUMBUKA!

Watu wengine kwa kutaka sifa! Hii ni moja ya Record zilizo recodiwa si kwasababu ya kufanikiwa hapana ni baada ya kushidwa kuweka Record ya MNARA MKUBWA ULIOTENGENEZWA NA WATU kutoka nchini china na kuambulia aibu tosha.... ...

UFUSKA WA KUTISHA!

  Stori: Brighton Masalu HAKIKA wazazi wanaosomesha mabinti lazima wataumia wakisoma kisa hiki kilichojaa ufuska wa kutisha, Amani linakupa kwa undani. Mwanafunzi wa kike aliyetajwa kwa jina moja la Agness, hivi karibuni alijifungia chumbani na njemba mmoja aitwaye Colvin na kufanya ngono zembe huku wakijirekodi na kujipiga picha...

Magaidi wafanya shambulio lingine tena nchini Kenya

  Watu wanaodhaniwa kuwa magaidi wamevamia kituo cha Polisi katika Mji wa Mandera nchini Kenya kwenye mpaka na Somalia na kuwaua polisi wawili, watatu wamejeruhiwa vibaya na baadaye kuchoma magari zaidi ya 11. Jana pia kulikua na shambulio sehemu inaitwa Wajir kwenye soko ambapo mtu mmoja alifariki… kuna taarifa nyingine zinazidi kuja ila nasubiria tu uthibitisho ili niwezi kuziweka hapa mtu...

Monday, September 23, 2013

DAR HOFU YATANDA

    Wananchi walionusurika katika shambuli hilo.       Moshi mkubwa ukifuka kutoka katika jengo la Westgate, jijini Nairobi jana. Stori: Mwandishi Wetu Mauaji ya kihistoria yaliyotikisa Jiji la Nairobi, Kenya, yamechagiza mshtuko wa aina yake nchini Tanzania na sasa hofu imetanda ndani ya Dar es Salaam hususan kwenye majengo ambayo huchukua watu...

HISTORIA YA AL SHABAAB UJUE WALITOKEA WAPI HADI LEO WAMEKUA TISHIO

Kundi la wapiganaji wa kisomali la al-Shabaab,limevamia jumba la kifahari lenye maduka na mikahawa nchini Kenya. Al Shabaab lenya mizizi yake nchini Somalia, limeweza kuondolewa kutoka miji mikubwa ya Somalia ikiwemo Mogadishu na sehemu zengine za Somalia , ingawa bado linasalia kuwa tisho kubwa kwa kanda nzima. Al Shabaab ni nani? Jina Al-Shabab linamaanisha Kijana kwa lugha ya kiarabu. Kundi hilo liliibuka kama tawi la...

Hizi ndizo picha zinaonyesha "MAGAIDI" wanavyofanya ugaidi Nairobi Kenya!!!!!

                               Mtu na mchumba wake waliuawa pamoj...