Blogger Widgets

Thursday, September 26, 2013

Magaidi wafanya shambulio lingine tena nchini Kenya

Watu wanaodhaniwa kuwa magaidi wamevamia kituo cha Polisi katika Mji wa Mandera nchini Kenya kwenye mpaka na Somalia na kuwaua polisi wawili, watatu wamejeruhiwa vibaya na baadaye kuchoma magari zaidi ya 11.
Jana pia kulikua na shambulio sehemu inaitwa Wajir kwenye soko ambapo mtu mmoja alifariki… kuna taarifa nyingine zinazidi kuja ila nasubiria tu uthibitisho ili niwezi kuziweka hapa mtu wangu.

chanzo:  millardayo.com

0 comments:

Post a Comment