Blogger Widgets

Thursday, September 5, 2013

ChokaBoys ft Ordinary & Ruff G-Utainuka

Wanaitwa ChokaBoys toka Ngaramtoni Arusha, wakiwa ndani ya wimbo "Utainuka" walomshirikisha Ordinary toka Jambo Squad pamoja na mkali wa dancehall, Ruff G ikiwa ni mkono toka Noizmekah Studios kwa Defxtro, Ngoma ni ladha ya Raggaeton mahususi zaidi wa kuparty, pata kuliskiza/Kudownload  HAPA na kwa mawasiliano/mahojiano zaidi check na ChokaBoys kupitia +255 753 842 850 

0 comments:

Post a Comment