Blogger Widgets

Celebrity Story from Different Place

Entertainment story of Bongo land and their work.

Friday, June 28, 2013

SABABU 5 ZINAZOKUFANYA UOE AU KUOLEWA NA MTU AMBAE SI CHAGUO SAHIHI KATIKA MAISHA YAKO

KUNA baadhi ya sababu zinazosababisha watu kuoana pasipo kufanya maamuzi sahihi. Wanandoa wengi huingia katika ndoa wakitegemea mambo mengi kubadilika, kitu ambacho ni makosa yanayosababisha ndoa nyingi kuvunjika. Kabla ya kuoa/kuolewa unapaswa Ujitambue Kwanza na ujiulize maswali kadhaa, kwanza jiulize; (1) Je huu ni wakati sahihi? (2) Kwa nini mtu huyu? na (3) Unamuoa au kuolewa na mtu atakaye  kuwa sambamba na malengo yako katika...

WEMA SEPETU AFUNGULIWA MASHITAKA!!

MMILIKI wa Kampuni ya Filamu ya Endless Fame, Wema Sepetu hivi karibuni amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya majirani zake kumshitaki kwenye serikali ya mtaa kufuatia tabia ya wafanyakazi wake kutiririsha maji machafu mtaani.     Taarifa iliyolifikia inadai kuwa, majirani wa Wema katika eneo analoishi, Kijitonyama jijini Dar wamekuwa wakimlalamikia msanii huyo kwa kitendo hicho lakini imeonekana uvumilivu umewashinda.    ...

JAQLINE WOLPER GAMBE AFUNGUKA:MAPENZI YA KWELI NDIO MPANGO MZIMA PESA BAADAE

Nyota katika tasnia ya filamu Swahiliwood Jaqueline Wolper ‘Wolper Gambe’ amedai kuwa hawapendi sana wanaume wenye fedha kwani wengi wao ni waume za watu, kwa hiyo kwa kuwa nao si rahisi kuonyesha mapenzi yao ya dhati kwake kwani mapenzi yao ni chumbani tu, lakini hawezi kutembea nao hadharani kwa kuhofia ndoa zao.Unajua unapokuwa na mtu mwenye fedha zake alafu mtu mzima hivi unakosa penzi la kweli kwani mapenzi yenu ni chumbani...

ANGALIA PICHA YA DIAMOND PLATNUM AKIWA NA UMRI WA CHINI ya MIAKA 5

...

KAJALA ATAKIWA KUACHA UNAFKI

    Na Mwandishi Wetu BAADHI ya wasanii wa filamu Bongo wamemtaka mwenzao, Kajala Masanja (pichani) kuwa mkweli kuhusiana na ushosti wake na Wema Sepetu kwani kudai kwamba wako sawa wakati ukweli unajulikana ni unafiki. Wakizungumza na Ijumaa juzikati, baadhi ya wasanii hao walioomba majina yao yasiandikwe gazetini walisema wameshangazwa na maneno ya Kajala kwenye mtandao kuwa hana tatizo na Wema wakati...

Thursday, June 27, 2013

Baada ya ile drama ya promota wa kike kumponda Prezzo, na kusema Diva alimlipia gharama zote alipokuja Tanzania ili aonekane naye, Diva afunguka

Well, jana (June26) tuliandika story juu ya mwanamke mmoja mKenya aliyejitambulisha kuwa ni promota anayeishi Ujerumani anayeitwa Ashley Toto, ambaye aliandika status katika ukurasa wake wa facebook akimponda Cash Money Brother Prezzo na kumpa misumari ya moto ikiwa ni pamoja na kusema Prezzo hana cash ya kutosha na anawezeshwa na wanawake. Hapo ndipo alitajwa Diva (japo hakumtaja kwa jina) na kusema alimgharamia kila kitu Prezzo alipokuja...

ANGALIA PICHA ZA WEMA ALIVYOZUA TIMBWILI

Wema Isaac Sepetu akiwa amefura kwa hasira. Na Siafel Paul STAA wa filamu za Kibongo asiyekaukiwa vimbwanga, Wema Isaac Sepetu amezua bonge la timbwili kwa wafanyakazi wake wa ndani wa kiume na kike akiwemo mlinzi, Amani linakuletea kisa na mkasa. Tukio hilo lililonaswa na vifaa vyetu vya kisasa vya kunasia matukio ya mnato na video, lilijiri juzikati nyumbani kwa mwanadada huyo, Kijitonyama, jijini Dar na kusababisha majirani kufaidi...

Sunday, June 23, 2013

EMBU ONENI UAMUZI HUU WAPENZI HAWA WALIO AMUA KUUCHUKUA BAADA YA KUKATALIWA WASIOANE

Hivi ndivyo walivyoamua kujitoa uhai wapenzi hawa baada ya wazazi wa mvulana kukataa katakata asimuoe msichana ambaye waliapa kuoana.baada ya juhudi zao kugonga mwamba suluhisho ikawa hivi.kisa hiki kimetokea huko congo.je wazazi mna la kusema ikifikia hapa?IKIPENDA ROHO HULA NYAMA MBICHI.NA MAPENZI SIKU ZOTE NI YA WAWILI. kwa kisani ya RAJAB KAMANZA   ...

MAAJABU: MTOTO AZALIWA NA MKIA, MAMA YAKE ALIA AKIOMBA MSAADA..Angalia PICHA

Maajabu  ya  uumbaji  yamemfanya  mama  mzazi  wa  Xiao Wei  ambaye  ni  mchina amwage  machozi  akiomba  msaada  wa  kunusuru  maisha  ya  mwanae   mwenye  umri  wa  miezi  7 aliyezaliwa  na  mkia... Kalio  la  tatu  lipo  kama  mkia  mfupi, wenye  urefu  wa  ...

ANGALIA PICHA MSANII DIAMOND AKILA BATA NCHINI COMORO

...

MwanaFA..AJUTA KUANZISHA BIFU NA JIDE,,APOTEZA MASHABIKI,HANA RAHA AAMUA KUFUNGUKA..SOMA ALICHOKIANDIKA HAPA

Kutokana na hilo FA aliamua kufunguka; “Tunaishi na watu hivyo lazima mtagongana, hata mapacha wanakosana na kusameheana, lakini wakati mwingine shida inawafanya mnapatana,” alisema Mwana FA.   Mwanamuziki Hamis Mwinjuma, maarufu Mwana FA, amepata wakati mgumu kwa kulazimishwa na mashabiki kutaja jina la Lady Jay Dee, baada ya kuliruka jina hilo alipokuwa akiimba wimbo wa Mabinti ambao ndani yake kuna jina la Jay Dee. ...

Saturday, June 22, 2013

FILAMU YA MWISHO KUIGIZA MAREHEMU MANGWEA HII HAPA

Marehemu Magwair mwigizaji na mwanamuziki UNAPOONGELEA moja kati ya filamu bora ni filamu ya Copy iliyotwaha tuzo tano, leo tunaongelea filamu hiyo ikiwa ni katika kumuenzi mwanamuziki na mwigizaji wa filamu Bongo Albert Mangweha ‘Ngwair’ aliyefariki nchini Afrika ya kusini, na kuzikwa siku ya alhamisi mkoani Morogoro katika makaburi ya Kihonda. Ngwair enzi mwigizaji aliyeshiriki filamu ya Copy. Msanii huyu pamoja na kuvuma sana katika...

Thursday, June 20, 2013

Picha za watoto wa wasanii 10 wa Tanzania waliozaliwa hivi karibuni na jinsi walivyo sasa

Huenda miongoni mwa wasanii hawa 10 ulikuwa hufahamu kama wana watoto na wanaitwa baba/mama. Watoto hawa waliozaliwa hivi karibuni wameendelea kukua na hizi ni picha zao za hivi karibuni. Lauren P Msechu – Peter Msechu Maleeka Hamis Mwinjuma – Mwana FA Sameer Herry – Mr Blue Kayla Shettah Bilah – Shettah Abigail – Rama Dee Ivan – Roma Ella – Grace Matata Steve – Barnaba Rummy...

BAADA YA MSANII SAJNA KU-COPY IDEA YA "muziki gani" MSIKILIZE NEY WA MITEGO ALICHOKISEMA HAPA

  Hivi karibuni msanii Sajna ametoa wimbo mpya unaokwenda kwa jina la MPIRA GANI ambayo ameshirikiana na msanii mwingine ajulikanae kwa jina la FREGE, kama umepata bahati ya kuusikia wimbo huo hauna tofauti kabisa na ule wa wasanii wakali bongo hapa niki mkusudia Ney wa mitego na Diamond ambao walishirikiana katika ngoma yao ya HUU NI MZIKI GANI, nisikuchoshe hebu tumsikilize mwenyewe Ney wa Mitego analizungumziaje suala...

LAANA:...Huyu ndo Mchungaji aliyewapa mimba wake za watu sita ndani ya mwaka mmoja...

 MCHUNGAJI mmoja  wa kanisa la Church elders of Faith Ministries Nchini Zimbabwe amejikuta akivuliwa wadhifa wake huo mtakatifu mara baada ya kugundulika kuwapa mimba wake za watu sita katika nyakati tofauti tofauti ndani ya mwaka mmoja. "Kitu alichokifanya mchunagaji huyu ni kibaya sana na mtu kama yeye hatakiwi kabisa kuwa sehemu ya kanisa kwa sasa, kwasababu kile alichokifanya ni kinyume kabisa na maadili ya UKRISTO.Kuna baadhi ya...

KUNA VITU VINGINE UKIANGALIA TU UNAANZA KUONA HURUMA, MFANO TAZAMA HIZI PICHA 6

 ...