Blogger Widgets

Thursday, June 6, 2013

ANGALIA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA MOROGORO MAZISHI YA MANGWEA


Jeneza lenye mwili wa Albert Mangweha likishushwa kaburini.
M2 THE P amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake kipenzi ambaye alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa ndani ya chumba kimoja kabla ya mauti kumkuta Ngwea.
Rafiki wa karibu wa marehemu Albert Mangweha, Mgaza Pembe 'M 2 The P' akiumuaga swahiba wake katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro. 

PICHA KWA HISANI YA MITANDAO MBALIMBALI

0 comments:

Post a Comment