Blogger Widgets

Wednesday, June 5, 2013

ANGALIA PICHA ZAIDI YA 40 HAPA, MAPOKEZI YA ALBERT MANGWEA NYUMBANI KWAO MOROGORO

Msafara wa kupokea mwili wa msanii  marehemu Albert Mangwea ukiwa unaingia morogoro hapa ni eneo la nane nane,Umati mkubwa umejitokeza katika mapokezi hayo jioni ya leo




















 UMATI WA WATU WAKIWA NYUMBANI KWA MANGWEA.
ASKARI AKIONGOZA MSAFARA ULIOBEBA MWILI WA MANGEA MIKESE MKOANI MOROGORO  AMBAPO ULIPOKELWA NA WASAN
II WA FANI MBALIMBALI WAKATI UKITOKEA DAR ES SALAAM



PICHA JUMAMTANDA
 MASHABIKI WA NGWEA WAKIWA WANAKIMBIA SAMBAMBA NA GARI LILILOBEBA MWILI WA NGWEA MIKESE.
 MSAFARA WA MAFARI BARABARA ENEO LA MKAMBARANI ULIKUWA HIVI.
 HAPA MKAMBARANI, KULIA NI BASI LA BM LIKIVURUGA MSAFARA HUO.
MASHABIKI WA MANGWEA WAKIWA KATIKA KANDO YA BARABARA KATIKA MZUNGUKO WA MSAMVU MOROGORO WAKATI MSAFARA UKIELEKEA  NYUMBANI KWA MANGWEA KIHONDA.
 
 MAPOKEZI YA MWILI WA NGWEA ENEO LA MAZIMBU ROAD KIHONDA.
BASI LA ABOOS AMBALO LILIWABEBA WASANII WA FANI MBALIMBALI, HAPA LIKIWA MIKESE WAKISUBIRI  MSAFARA WA ULIOBEBA MWILI WA MANGWEA.

0 comments:

Post a Comment