Blogger Widgets

Monday, July 1, 2013

BAADA YA LIL WAYNE KUM-DISS JAY Z,JAY Z SASA AANZISHA VITA



  Jay Z ameamua kum-diss Lil Wayne kupitia wimbo wake mpya wa La Familia ambao utakuwa kwenye album yake mpya inayoitwa Magna Carta Holy Grail.
Kama unaweza kukumbuka Jay Z alimchana Birdman kwenye wimbo wa H.A.M na kusema
“I’m like, ‘Really, half-a-billi?’ / Nigga, really, you got baby money / Keep it real with niggas, niggas ain’t got my lady money,”. Maneno hayo yalimuuzi sana Lil Wayne na kupelekea Lil Wayne kumjibu Jay Z kupitia wimbo wa I’m Good ambao ulikuwa kwenye Carter IV.
Lil Wayne alisema “I got your baby money / Kidnap your bitch, get that how much you love your lady money.”
Jay Z bado hajasahau maneno hayo ya Lil Wayne na kuamua kumjibu hivi “Wanna kidnap wifey / Good luck with that bruh / You must gonna hide your whole family / What you think we wearing black for / Ready for that war / Ready for that war ready / You ain’t ready, yo, you radio,” spits Jay on La familia song.

0 comments:

Post a Comment