Blogger Widgets

Tuesday, July 30, 2013

TID ALITOLEA UVIVU GAZETI LA BABKUBWA KWA UWONGO. SOMA HAPA ALICHOKIANDIKA

Katika hali isiyo ya kushangaza msanii TID amefunguka kupitia ukurasa wake wa facebook na kuonekana kukerewa na gazeti la Baabkubwa na kuandika kifuatacho
Hahahaha jamani acheni kumuudhi TID na Ramadan yote hii. Kama mnataka ukweli mfateni atawaeleza na si kumzushia kama mwenyewe anavyo dai.

0 comments:

Post a Comment