Blogger Widgets

Sunday, August 25, 2013

NEWS:ZICHEKI PICHA 10 ZA WAKAZI WA MPANDA WALIVYOMPOKEA KISHUJA DIAMOND PLATNUM....NOMA SANA YANII...!!

Hakika kwa lililotokea mkoani mpanda basi si
la kusahau kila rahisi,kwa historia kufutika kichwani mwangu
na milele moyoni Mwangu.


Siku ya Jana wakati nimetokea jijini Tabora kwenye Fiesta 2013
baada ya kibarua ,hapa tena nakuja
Mpanda nikiwa na crew yangu nzima.
Majira ya saa 7 tulikuwa tumewasili uwanja wa ndege
 wa Binafsi Mkoani humu lakini baada
ya Kuwasili na kutokeza tu nje,ghafla hali ya hewa
ilibadilika kuwa ya Furaha na watu kujazana
kwenye uzio wa uwanja wa ndege mdogo mkoani hapa.
Kiukweli nilijua hali ile ingeishia pindi mimi nigehenda kuwasabahi
lakini cha ajabu nilivyowasalimu ni mashabiki
 zangu wa kweli walikuwa wakiimba nyimbo zangu
wakubwa kwa wadogo kiasi kwamba machozi ya
 furaha ndio yalitawala ndani yangu.
Baada ya kumalizana nao ni zilifata kuzingirwa toka uwanja wa ndege
hadi mjini,watu wa mpanda

Namshukuru Mungu na daima ntamshukuru
Mungu kwa kuzidi kunipa kibali
chake mimi na crew yaangu nzima kukubalika
 na kuzidi kufanya vizuri.....Nawapenda
mashabiki zangu sana,kwenye kila nyanja
ya Tanzania na Afrika nzima.

Baada ya Kupumzika Nimeamua kukuwekea pich
hizi Asubuhi ya leo kuona tukio zima lilivyojiri
so unaweza pata taswira ya kile nilichokuwa nakuambia hapo Mwanzo.
Emma Platnum kama Supervisor Captain
On Board tukiwa tumewasili Mpanda.
Hawa ndio baadhi ya watu walioanza
kusogea taratibu baada ya ndege kuwasili..
Ebhana nachokiona mbele hapa ni Nyomi ya
 watu doooh......Mpanda people are my Royal FANS
Ni vurugu patashika......
Ebhana siezi kuondoka bila kusalimiana nao,hapaa
ndipo nilitokeza kuzungumza nao machache
mahana hali ya usalama pale uwanjani aikua shwari tena.
I can feel the love,truly this people are making me alive.


0 comments:

Post a Comment