Blogger Widgets

Wednesday, August 28, 2013

Wema Sepetu aongoza kura za waigizaji 10 wa kike wenye mvuto zaidi Tanzania

Jana tuliweka picha za waigizaji wa filamu 17 wa kike nchini na kuwaomba wasomaji wetu kumchagua ni yupi mwenye mvuto zaidi. Lengo lilikuwa ni kupata maoni ya wasomaji wenyewe ili kupata orodha ya waigizaji 10 wenye mvuto zaidi nchini. Tumetumia kura zilizopigwa kwenye website pamoja na kwenye mitandao ya Facebook na Twitter.
Hivi ndivyo matokeo yamekuwa:
1. Wema Sepetu

_DSC1059 (853x1280)
2. Jacqueline Wolper
9c805232db2b11e2954322000ae80d8d_7
3. Irene Uwoya

254f536aecbb11e2bd0222000a9e514f_7
4. Elizabeth Michael aka Lulu
BQWl05OCMAEZmNG
5. Warda Walid
warda
6. Skyner Ally
Skyner 2
7. Rose Ndauka
IMG_9680rrr
8. Aunt Ezekiel
Aunty-Ezekiel
9. Monalisa
bea0088aede111e2bdce22000aaa0927_7
10. Irene Paul
Irene-Bahati-Paul-534

chanzo: bongo 5

0 comments:

Post a Comment