
Mbunge wa
Nyamagana, Ezekiel Wenje, leo amechafua hali ya hewa bungeni baada ya
kusoma hotuba yaake iliyowakasirisha wapinzani wenzao wa Chama cha CUF,
jambo lililomfanya Naibu Spika Job Ndugai, kuahirisha Kikao cha Bunge
mapema asubuhi.
Wabunge wa CUF wakisimama na kucharuka huku kila mmoja akifoka kivyake
.....
Wabunge
wa Chama cha CUF wamezua tafrani hiyo Bungeni mjini Dodoma leo wakati
Mbunge huyo wa Nyamagana,...