Blogger Widgets

Saturday, May 11, 2013

Picha ya mtu anayefanana na Jay-Z ‘copyright’ ya mwaka 1939 yawashangaza wengi

original-7131-1368044114-9


Jana wafanyakazi wa maktaba ya Schomburg Center ya New York Marekani wamepata picha ya mtu ya mwaka 1939 anayefanana na Jay-Z kila kitu.
Picha hiyo imewafanya baadhi ya watu waamini kuwa hiyo ni Jay-Z na aliishi mitaa ya Harlem, miaka ya 1930s. Tazama video hii ya TMZ uone wanavyoijadili picha hiyo.

Unfortunately your browser does not support IFrames.

0 comments:

Post a Comment