Blogger Widgets

Tuesday, May 14, 2013

Kwa mara nyingine anakuja Mwanadada Rappa Lady Yoo na young omega na ngoma yake mpya inakwenda kwa jina la KIVIPI

Kwa mara nyingine anakuja Mwanadada Rappa Lady Yoo Akiwakilisha Sanawari akishirikiana na Yungo Omega toka River Camp Soldiers katika hili Hiphop Ragga Joint lilosukwa pande za Noizmekah Production Studios Arusha linakwenda kwa jina "Kivipi", Mpango mzima ni kuendeleza muziki wa Tanzania especially kwa Wanadada wanao struggle kuwakilisha katika fani. Download HAPA na kwa mawasiliano zaidi check na LadyYoo kupitia namba +255 758 394 470 Yung Omega kupitia +255 759 166 037







0 comments:

Post a Comment