Blogger Widgets

Wednesday, May 15, 2013

"HAPPY BIRTHDAY ADAM MCHOMVU (baba Jonii)" KUTAMBULISHA MIXTAPE YAKE YA KWANZA SIKU YA BIRTHDAY YAKE LEO MAY 16 2013


Adam Mchomvu a.k.a baba jonii Radio presenter clouds fm mwenye crown ya best presenter, anatarajia kutoa mixtape yenye  ngoma kumi na nane alioshirikiana na wasanii mbali mbali kama Jose Mtambo, Banana Zorro, Illimatix, Cliff mitindo, G.nako, Nikki wa 2, Babuu wa kitaa, TID, na wasanii wengine wengi kama zawadi kwa mashabiki wake ibaki kama kumbukumbu kwa kile anachokifanya hewani (on air) ... mixtape itaingia kitaani soon baada kupreview ngoma hizo ndani ya double XL (XXL) kuanzia leo saa tisa alasiri kwa hot 3 @ 3 ..... big up baba la baba!

0 comments:

Post a Comment