Blogger Widgets

Tuesday, May 14, 2013

huyu ndio rapper anayefanya zaidi muziki wa crunk na pia Trap kutoka A. Town. sikiliza na ku-download ngoma yake mpya hapa

Anaitwa G-Hood toka Arusha, Newcomer aliyeanza harakati za kurekodi mwaka huu, na zaidi ni rapper anayefanya zaidi muziki wa crunk na pia Trap..Ngoma yake amefanya pande za Noizmekah studios akimshirikisha defxtro katika chorus ya wimbo huu wa "Naendelea Kutafuta" Download ngoma hii na endelea kusupport muziki wa Tanzania kwa mahojiano zaidi na mwasiliano check na G-hood kupitia +255 759 903 824

0 comments:

Post a Comment