Blogger Widgets

Wednesday, May 8, 2013

PICHA INAYOHUZUNISHA SANA BAADA YA KUANGUKA KWA KIWANDA CHA NGUO NCHINI BANGLADESH



waathirika wawili wakiwa kwenye kifusi baada ya kuanguka kwa jengo la kiwanda cha nguo Savar, Bangladesh, Aprili 25, 2013. Picha na Taslima Akhter.Picha nyingi poweful zilipigwa baada ya kuanguka vibaya kiwanda hicho  nchini Bangladesh, lakini picha hii imeibuka kama picha inayoumiza sana na kusikitisha na kusababisha huzuni nchi nzima, ukiiangalia tu picha hii moja.

0 comments:

Post a Comment