Blogger Widgets

Saturday, May 11, 2013

HIZI HAPA PICHA RASMI ZA MAZISHI YA DEVID RIMISHO



Mwili wa Devid Rimisho ukihifadhiwa  katika makazi ya milele

Mwili wa Devi Rimisho ukiwa Unawekwa Tayari kwa kusafirishwa kuelekea Rombo.

Baadhi Ya waombolezaji ambao pia ni waandishi wa habari na watangazji na pia waliwahi kusoma na marehemu wakijadiliana jambo kabla ya safari kuanza ya kusafirisha mwili kuelekea wilayani Rombo.

Mwili wa Devid Rimisho
PICHA HIZO KWA HISANI YA  DOTTO MZAVA na DAVID ERNEO

****************************************************************************


NI MAMAMIA YA WATU HII LEO WAMEFURIKA HUKO MKOANI KILIMANJARO WILAYANI ROMBO  KATIKA MAZISHI YA ALIEKUWA MWANAFUNZI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI  DEVID RIMISHO .AMBAE HII LEO AMEHIFADHIWA KATIKA NYUMBA YA MILELE.
DEVID ALIJIUNGA NA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI AJTC MWAKA 2010 AMBAPO ALIENDELEA NA MASOMO,KATIKA NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA AMBAPO WAKATI ANAMALIZIA MASOMO YAKE  KATIKA NGAZI YA DIPLOMA MAY 6 2013 TAARIFA ZILISAMBAA KATIKA MITANDAO NA TOVUTI MBALIMBALI KUWA DEVID HAYUPO TENA DUNIANI "Devid alikutwa mauti ndani ya chumba walichokuwa wamelala na mwenzake amefariki na katika kumchunguza hakuwa na kovu lolote katika mwili wake la kuonyeshwa kupigwa hivyo naweza kusema ni kifo cha gafla." kauli hii imetolewa na mmoja wa watu wa karibu wa familia.

0 comments:

Post a Comment